Kwanini wanaume hatusherehekei siku zetu za kuzaliwa?

Oppo A17k

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
544
1,417
Habari ndugu wana jamvi. Binafsi napenda kuwapongeza kwa ujenzi wa taifa. Maana hata hizi bundle tunazonunua tunachangia uchumi kwa kiasi kikubwa

Pia nimpongeze mama kwa kuupiga mwingi maana bila juhudi zake na sisi tungekua sri lanka.

Baki tu the topic.
Kumekuwa na mijadala mingi inayozungumzia wanawake na tabia zao kwa ujumla na tumekua tukikumbushwa sana jinsi ya kuishi nao kwa akili hapa dunia na wamekua na matukio mengi ya kushangaza dunia kwa ujumla.

Napenda kuuliza kwanini wanaume wengi huwa hawana muda na kitu kinachoitwa birthday? Si ajabu ukakuta anapeleka gift kwa beloved someone ila siku yake ikifika hana mpango japo sio wote ila kwa waliowengi.
Binafsi sikumbuki tarehe 24november kila mwaka hua inaisha isha kiaje?

Tushee mawazo... Vipi kwako hua unasherehekea? If not why? And if yes with who?
Na vipi to your beloved huwa unampa gift au huwa unampotezea?
 
Habari ndugu wana jamvi. Binafsi napenda kuwapongeza kwa ujenzi wa taifa. Maana hata hizi bundle tunazonunua tunachangia uchumi kwa kiasi kikubwa

Pia nimpongeze mama kwa kuupiga mwingi maana bila juhudi zake na sisi tungekua sri lanka.

Baki tu the topic.
Kumekuwa na mijadala mingi inayozungumzia wanawake na tabia zao kwa ujumla na tumekua tukikumbushwa sana jinsi ya kuishi nao kwa akili hapa dunia na wamekua na matukio mengi ya kushangaza dunia kwa ujumla.

Napenda kuuliza kwanini wanaume wengi huwa hawana muda na kitu kinachoitwa birthday? Si ajabu ukakuta anapeleka gift kwa beloved someone ila siku yake ikifika hana mpango japo sio wote ila kwa waliowengi.
Binafsi sikumbuki tarehe 24november kila mwaka hua inaisha isha kiaje?

Tushee mawazo... Vipi kwako hua unasherehekea? If not why? And if yes with who?
Na vipi to your beloved huwa unampa gift au huwa unampotezea?
Yani unaanzaje anzaje yani Mwanaume kusherehekea birthday?😆

Unawaza bado mambo kibao ya msingi hujayatimiza,muda unaenda afu upost na kukata keki ya happy birthday?

Labda ukishafika miaka 60 huko unakula uzee wenye heshima ndio unaweza fanya hayo mambo
 
Yani unaanzaje anzaje yani Mwanaume kusherehekea birthday?😆

Unawaza bado mambo kibao ya msingi hujayatimiza,muda unaenda afu upost na kukata keki ya happy birthday?

Labda ukishafika miaka 60 huko unakula uzee wenye heshima ndio unaweza fanya hayo mambo
Jiseme wewe usiseme kwa niaba ya wengine.
 
Mtihani wa kwanza ni kukumbuka hiyo tarehe yenyewe ya kuzaliwa. Nimewahi achwa kwasababu ya kusahau birthday ya mtoto mzuri, nikashindwa kuwa wa kwanza kumu-wish happy birthday; yaani ile ng'ombe eti ilitegemea mie niamke saa 6:01 usiku "nimuimbie hepi besidei tuyu"!!

Nafikiri wanaume wengi hatuko vizuri/ hatuweki kipaumbele kwenye kukumbuka na kusherehekea siku za kuzaliwa, hatuoni mantiki ya kutumia muda na pesa tulizozipata kwa shida kusherekea sherehe ambayo haina manufaa. Kuna sisi wengine tunasahau hadi majina ya katikati ya wapenzi wetu,... au ukiulizwa "Ivi mpenzi wako amezaliwa wapi?" milioni inawekwa mezani ila huwezi kujibu.

Angalau ni vigumu kwa wanaume wengi kukumbuka "vitu vidogo vidogo visivyo vya msingi"... kama siku ya kuzaliwa.
 
Mwanaume Una mambo mengi ya kufanya kichwa kinawanga kutimiza mambo mazito ya kifamilia alaf uwaze ujinga wa birthday , hayo mambo waachie wanawake , watoto na wana Sanaa wazee wa show off
 
Binafsi nina mambo mengi ya kufanya hivyo siwezi kuzingatia vitu vidogo vidogo kama ivyo, Kuna kipindi nilifanyiwa surprise na wife lakini sikutokea kwenye hiyo birthday yangu, kwasababu nilikuwa sijui kama ni siku ya birthday yangu

Kwa mtazamo wangu naona birthday ni nzuri kwa wanawake maana wanapenda sana sherehe na kuvaa kupendeza pendaza pia ni namna mpya kwa wanawake kutambiana na kuonyeshana ufahari baina yao.

mfano ;- Kuna dada mmoja aliamua kumfanyia mtoto wake birthday ambapo alitumia karibia nusu ya mtaji wake wa biashara ,akaanza kuomba omba baada ya birthday kuisha na mtaji umekata alikuja kwangu nikamchana laivu na kumwambia hauna akili hata kidogo
 
Mtihani wa kwanza ni kukumbuka hiyo tarehe yenyewe ya kuzaliwa. Nimewahi achwa kwasababu ya kusahau birthday ya mtoto mzuri, nikashindwa kuwa wa kwanza kumu-wish happy birthday; yaani ile ng'ombe eti ilitegemea mie niamke saa 6:01 usiku "nimuimbie hepi besidei tuyu"!!

Nafikiri wanaume wengi hatuko vizuri/ hatuweki kipaumbele kwenye kukumbuka na kusherehekea siku za kuzaliwa, hatuoni mantiki ya kutumia muda na pesa tulizozipata kwa shida kusherekea sherehe ambayo haina manufaa. Kuna sisi wengine tunasahau hadi majina ya katikati ya wapenzi wetu,... au ukiulizwa "Ivi mpenzi wako amezaliwa wapi?" milioni inawekwa mezani ila huwezi kujibu.

Angalau ni vigumu kwa wanaume wengi kukumbuka "vitu vidogo vidogo visivyo vya msingi"... kama siku ya kuzaliwa.
Pole mwanangu ulimkosa mtoto mzuri
 
Back
Top Bottom