Kwanini wanaume hamwathamini wanawake?

Kwanini wanaume hamwathamini wanawake?

lizybert

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
226
Reaction score
32
Hi wakuu.

Naleta uzi huu kutokana na kwamba naona wanaume wengi hawawathamini wanawake zao pindi wawapo katika mahusiano unaweza kukuta binti kakuta mwanaume hana kitu wala hafikirii kutoka alipo akamshauri vizuri lakini mwisho wa siku akaona mwanamke huyo hafai tena ilihali kamtoa sehemu moja kwenda ingine yawezekana kiuchumi, kikazi, ama ktk mazingira aishiyo.

Lakini pindi tu mwanaume anapoamua kumuacha huyo mwanamke huwa hafikirii kwamba wanawake hawafanani? Nawasihi wanaume hebu mkishikwa shikilieni basi ukipata mwanamke anayejitambua tulia naye lasivyo utaangukia kwa gumegume na huo msiba utalia mwenyewe.

Asanteni
 
mkuu ungeanza kuwashauli wanawake kwanza wawajali na kuwathamini waume wao sbb hilo pia ni tatizo sijajua utafiti wako umehusisha idadi gani ya wanaume na wanawake walio kwenye ndoa lkn unaweza kuta inakuwa ni tofauti na unavyofilkiri
 
Muda mwingine watu tukikaa sana single huwa tunajikuta tunakurupuka kwa mwanamke yeyote ili kutoa ule upweke,sasa tukija tulia ndo tutajua kama alikua chaguo sahihi ama laa.
 
Muda mwingine watu tukikaa sana single huwa tunajikuta tunakurupuka kwa mwanamke yeyote ili kutoa ule upweke,sasa tukija tulia ndo tutajua kama alikua chaguo sahihi ama laa.

hahaaa kwa nn mkurupuke ktk maamuz....yafaa utulize akili
 
mkuu ungeanza kuwashauli wanawake kwanza wawajali na kuwathamini waume wao sbb hilo pia ni tatizo sijajua utafiti wako umehusisha idadi gani ya wanaume na wanawake walio kwenye ndoa lkn unaweza kuta inakuwa ni tofauti na unavyofilkiri

baadhi ya wanaume pande zote hii kitu ipo walio ktk ndoa hat waco katik ndoa pia
 
Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee
 
Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee

kwa nn ungefurah mkuu?
 
Utawaweza haoo.

Ila yakishawakuta ndio wanaanza kujuta.
 
Unawekewa vocha bureeee.lift barabarani gari unachagua upande lipi maana yanayosimama kwa ajili yako ni mengi.
 
Ukiendekeza wanawake/mwanamke unaweza kuwa mwehu.

Wanawake walio wengi ukiwathamini wanakuumiza hisia zako tu.

Kinachotakiwa ni kumuonyesha mwanamke ile sitaki nataka ili ashindwe kuusoma mchezo.

Pia wanawake baadhi wakishikwa vizuri wanakuwa na viburi.

mi mwenyewe nmeshikwa bana ingawa najitahidi kujinasua lakini waapii!.
 
Tatizo la nyota ya upendo ikipishana majanga km hayo lazma yatokee,,, inahtaj uvumilv wenzio tulshapoa tena ukmpata mnae endana nyota unajiulza alikuwa wapi ck zote? Kwanin nmeteseka ivo? Hahah ndo mpango mzima wa lyf ulvo.
 
Mara nyingi wanaume akianza chini na mwanamke , anakula naye shida ugali na ndimu then mambo yakibadilika akishafanikiwa , anamiliki nyumba ,gari anaona yule mwanamke hafai tena amezeeka na hafananii kuishi ktk nyumba hiyo ndo anatafuta anayefaa kuishi naye na kutoka naye.
 
Sasa ni vipi kwa wale wanaokataa wanaume kwa kigezo cha pesa
 
Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee


Unatamani ungekuwa mwanamke?
 
Hi wakuu.

Naleta uzi huu kutokana na kwamba naona wanaume wengi hawawathamini wanawake zao pindi wawapo katika mahusiano unaweza kukuta binti kakuta mwanaume hana kitu wala hafikirii kutoka alipo akamshauri vizuri lakini mwisho wa siku akaona mwanamke huyo hafai tena ilihali kamtoa sehemu moja kwenda ingine yawezekana kiuchumi, kikazi, ama ktk mazingira aishiyo.

'Two things define people; their patience when they have nothing and their attitude when they have everything'
 
Hi wakuu.

Naleta uzi huu kutokana na kwamba naona wanaume wengi hawawathamini wanawake zao pindi wawapo katika mahusiano unaweza kukuta binti kakuta mwanaume hana kitu wala hafikirii kutoka alipo akamshauri vizuri lakini mwisho wa siku akaona mwanamke huyo hafai tena ilihali kamtoa sehemu moja kwenda ingine yawezekana kiuchumi, kikazi, ama ktk mazingira aishiyo.

Lakini pindi tu mwanaume anapoamua kumuacha huyo mwanamke huwa hafikirii kwamba wanawake hawafanani? Nawasihi wanaume hebu mkishikwa shikilieni basi ukipata mwanamke anayejitambua tulia naye lasivyo utaangukia kwa gumegume na huo msiba utalia mwenyewe.

Asanteni

Kuna kaukweli hapa ila kana aply pande zote mbili..
 
Back
Top Bottom