Tuna nyanyasika
Member
- Mar 16, 2022
- 65
- 82
Wakuu poleni na majukumu,
Kwa nini wanasiasa wanatudanganya sanaz Kauli za PM ngapi zinasema kuhushu kushuka bei vitu tangu hata kabla ya vita ya huko ukraine? Vina shuka au ndo vinaongezeka? Kwanini asiwe mkweli.
Ni tume ngapi zilizoundwa na PM, je mpka leo ripoti imekuja?
Niwakumbushe tu hizo tume.
01: Tume ya ajali ya moto pale Morogoro iliyoua watu wakati wanachota petrol.
02: Tume ya mauji ya kuungua soko huko DSM.
03. Tume ya mauaji ya mfanyabiasha wa madini kule Mtwara.
04. Tume ya mauaji yanayofanywa na askari wa wa maliasili kwa wananchi.
05. Tume ya kuchunguza vifaa vya vya ujenzi kupanda bei ghafla.
JE , HIZO TUME ZIMEPOTELEA WAPI?
Kwa nini wanasiasa wanatudanganya sanaz Kauli za PM ngapi zinasema kuhushu kushuka bei vitu tangu hata kabla ya vita ya huko ukraine? Vina shuka au ndo vinaongezeka? Kwanini asiwe mkweli.
Ni tume ngapi zilizoundwa na PM, je mpka leo ripoti imekuja?
Niwakumbushe tu hizo tume.
01: Tume ya ajali ya moto pale Morogoro iliyoua watu wakati wanachota petrol.
02: Tume ya mauji ya kuungua soko huko DSM.
03. Tume ya mauaji ya mfanyabiasha wa madini kule Mtwara.
04. Tume ya mauaji yanayofanywa na askari wa wa maliasili kwa wananchi.
05. Tume ya kuchunguza vifaa vya vya ujenzi kupanda bei ghafla.
JE , HIZO TUME ZIMEPOTELEA WAPI?