Kwanini wanasiasa wanatudanganya sana?

Mar 16, 2022
65
82
Wakuu poleni na majukumu,

Kwa nini wanasiasa wanatudanganya sanaz Kauli za PM ngapi zinasema kuhushu kushuka bei vitu tangu hata kabla ya vita ya huko ukraine? Vina shuka au ndo vinaongezeka? Kwanini asiwe mkweli.

Ni tume ngapi zilizoundwa na PM, je mpka leo ripoti imekuja?

Niwakumbushe tu hizo tume.

01: Tume ya ajali ya moto pale Morogoro iliyoua watu wakati wanachota petrol.

02: Tume ya mauji ya kuungua soko huko DSM.

03. Tume ya mauaji ya mfanyabiasha wa madini kule Mtwara.

04. Tume ya mauaji yanayofanywa na askari wa wa maliasili kwa wananchi.

05. Tume ya kuchunguza vifaa vya vya ujenzi kupanda bei ghafla.

JE , HIZO TUME ZIMEPOTELEA WAPI?

FB_IMG_1649482039824.jpg
 
Kwasababu wao hawafanyi shopping wanafanyiwa… halafu pesa wao wanazo kwahio hawaamini na haiwaingii akilini km mtanzania kweli hana pesa ya kula wanaona km mnawadanganya
 
Wakuu poleni na majukumu,

Kwa nini wanasiasa wanatudanganya sanaz Kauli za PM ngapi zinasema kuhushu kushuka bei vitu tangu hata kabla ya vita ya huko ukraine? Vina shuka au ndo vinaongezeka? Kwanini asiwe mkweli.

Ni tume ngapi zilizoundwa na PM, je mpka leo ripoti imekuja?

Niwakumbushe tu hizo tume.

01: Tume ya ajali ya moto pale Morogoro iliyoua watu wakati wanachota petrol.

02: Tume ya mauji ya kuungua soko huko DSM.

03. Tume ya mauaji ya mfanyabiasha wa madini kule Mtwara.

04. Tume ya mauaji yanayofanywa na askari wa wa maliasili kwa wananchi.

05. Tume ya kuchunguza vifaa vya vya ujenzi kupanda bei ghafla.

JE , HIZO TUME ZIMEPOTELEA WAPI?

View attachment 2181393
as long as anatoka ccm
 
Back
Top Bottom