cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Mpaka umri huu sijawahi kusikia au kuona mwanasiasa anafungwa yaani anahukumiwa kwenda jela halafu anatumikia kifungo hadi kinaisha,sijawahi!!!
Nimewahi kusikia wanasiasa wanashtakiwa na kuachiwa au wanahukumiwa ila wanaachiwa baada ya muda fulani bila kutumikia kifungo kikaisha
Wanasiasa ambao nimewahi kusikia wanafungwa na mpaka sasa wapo gerezani wengine ni level ya madiwani na wenyeviti vijiji/mtaa,ukifuatilia makosa yao ni uhujumu uchumi si zaidi ya milioni 50
Hizi sheria za kudhibiti uhalifu ni kwa watu masikini na wasiojulikana
Namhitaji DPP tubagain mdogo wangu yupo jela kifungo cha mwaka mmoja kwa kuiba kuku
No one is above the law,lakini wanasiasa wa ngazi za juu na watu maarufu wapo above the law tusidanyike!!!!!
Nimewahi kusikia wanasiasa wanashtakiwa na kuachiwa au wanahukumiwa ila wanaachiwa baada ya muda fulani bila kutumikia kifungo kikaisha
Wanasiasa ambao nimewahi kusikia wanafungwa na mpaka sasa wapo gerezani wengine ni level ya madiwani na wenyeviti vijiji/mtaa,ukifuatilia makosa yao ni uhujumu uchumi si zaidi ya milioni 50
Hizi sheria za kudhibiti uhalifu ni kwa watu masikini na wasiojulikana
Namhitaji DPP tubagain mdogo wangu yupo jela kifungo cha mwaka mmoja kwa kuiba kuku
No one is above the law,lakini wanasiasa wa ngazi za juu na watu maarufu wapo above the law tusidanyike!!!!!