safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,839
Acha uzinzi mkuu.Hujui chochote kaa kimya!
Mtu mzima yeyote anaelewa! Mwanaume hata akomae vipi kuchepuka atachepuka!
hivi hujiulizi hata wanyama unaona beberu moja linamajike manne? hata kuku hamfugi nyumbani kwenu ukajifunza jogoo linavyotafuna matetea?
kama hujui soma kisa cha mfalme SULEMAN alikuwa na wake 700 na mahawara 300,
mtazame Ibrahim alivyokuwa!
NDIYO MAANA NILIKUULIZA UNA UMRI GANI?
We utakuwa mtoto wa KICHEPUKO TU SIO BURE.
Unatetea michepuko bila shaka umetokana na hiko.
Ucha upuuzi dogo.
NB:nakutafutia ban mtoto qa kichepuko