miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
usihofu shosti ndo napambana nipate uwaziri wa wizara nyet moja wallah ntasafirisha hadi ngozi za cobra ha ha ha ha
hivi uji siku hizi watu wana export vidole?
usihofu shosti ndo napambana nipate uwaziri wa wizara nyet moja wallah ntasafirisha hadi ngozi za cobra ha ha ha ha
Kwenye giza mtu unajitoa akili zote kabisaaaaa
Mimi hua ninawasha taa, kwanini nile gizani?
usihofu shosti ndo napambana nipate uwaziri wa wizara nyet moja wallah ntasafirisha hadi ngozi za cobra ha ha ha ha
hivi uji siku hizi watu wana export vidole?
Nami ntaomba unisafirishee plz nimechoka kula vumbi bongo
Yeah najua utabisha ila huo ndo ukweli....tehMmmmh jaman Evelyn!!!!!
my wiii usihofu wewe tna wao wana nini na sisi tuna nini ...tutasafirishana wooote ndani ya huki kipindi cha mjomba kilichobakia
kizuri kula na nduguyo
mmmmmmmh....napita kuelekea kwenye sherehe za muungano
Yeah najua utabisha ila huo ndo ukweli....teh
weee! Usitake kutudanganya watu wazm hapa. Mbona ulisema hujawahi kuiona bikra yako??
weee! Usitake kutudanganya watu wazm hapa. Mbona ulisema hujawahi kuiona bikra yako??
Huwa hagegedwi anatoa tu elimu....Siku moja moja basi uwe unatoa uzi tofauti na migegedo lol migegedo ipo haishiii
halaf kufanya gizani labda kama upo kachafu unajificha kwenye gizaaaa
Jana niliiona...
Mambo kwenye mwanga gizani iwe dharula hata wahenga walisema "SHEMEJI ZIMA TAA" wakiamaanisha gizani ni kwa watu ambao wanachepuka na watu wa karibu kama mashemeji, mama mkwe, baba mkwe ili kuua soo lakini vya halali kwenye mwangahapo kwenye red inabidi ufanyie kazi
tena anzia kwangu....mimi bila mwanga wa kutosha sioni raha hata kidogo
vp na yule aliyekupeleka polis alikuwa anaingiza wapi?