LUCKY BANANA
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 461
- 226
Hahahahahah....kuna familia nyingine namna wanavyoishi utafikiri ni KANDA MAALUM





Hahahaahaa haya bhanaHahahahahah....kuna familia nyingine namna wanavyoishi utafikiri ni KANDA MAALUM
Wewe hujafundishwa ndio sikubishii!Hayo mambo wanafundishwa wapi,mbona Mimi sijawahi kufundishwa
Kwani michepuko yao ni jinsia gani????????Wanaume watafanya hayo wakati wanawaza michepuko
Lakini tunawaheshimu kila siku.Kweli mpka uugue ndyo wanawake wanatoa zawadi
Bongo nyoso sana
Eti migogoro isiyokuwa na kichwa wala miguu...Kiafrika,Romance utaipata nje ya ndoa.Ndani ya ndoa,masuala ni,kutafuta hela ya kula,ada za watoto na kutatua migogoro isiyokuwa na kichwa wala miguu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima ipo pale pale mkuuLakini tunawaheshimu kila siku.
hata mimi hii kauli imenichekesha sana![]()
![]()
ukiwaona wamekaa njee usiku usifikiri wanaenziana Bali wanasubiri dawa waliyo puliza ndani iishe
Wengi mkuu wanajugde maisha ya wazungu kupitia tamthilia.hao wazungu wanayafanya yote hayo na bdo wanaachana sana kuliko huku
hata mimi hii kauli imenichekesha sana
mtoa mada kajitahidi kufikisha ujumbe kwa walengwa.