Kwanini Wananchi walimkataa na watamkataa Slaa

Kwanini Wananchi walimkataa na watamkataa Slaa

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Mwl Nyerere alisema katika moja ya hotuba sake maarufu kuwa mgombea wa ccm laxm achujwe kwan akishatangazwa huenda umemtangaza raisi.

Slaa wananchi watanganyika nazanbibar walimkataa na bado kama UKAWA watajichanganya basi CCM itapita km kupita bila kupingwa.

Slaa 2010 alidaiwa kuwa na mafungamano mazito na waajiri wake wa mwanzo jambo ambalo lilisaidia kutoka kwa waraka kwa waamini namna ya kupata viongozi wao. hill bado lipo na ndio maana CHADEMA imepigwa Zanziba, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Tabora nk.

Slaa ni kiongozi Mwenye jazba intolerant na hawezi kucompromise. ukisikiliza speech zake anaamini akishika madaraka karb nusu ya watu atawafunga. anawatuhumu marais wastaafu mawaziri, polisi,jeshi,usalama wa taifa, majaji sasa km utafukuza polisi, usalama wa taifa,utafunga viongozi wastaafu hueezi baki salama mfano mzuri ni misri . raid Mandela angekuwa km Slaa Leo dunia isingemkumbuka kwani alisamehe na kuridhiana.

Slaa ni MTU asiependa kupingwa wala kukosolewa na mfano mzuri ni suala LA zito. namna Kikwete anavyokosolewa lakini anavumilia ingekuwa padri slaa wengi wangekua magerezani. kiongozi gani anapenda tu kusikia akisifiwa tu basi.ukileta hoja ya udhaifu wake unakuwa labelled msaliti na unafukuzwa.

Slaa hawezi kuongoza nchi hoi labda mtaa wa Ufipa.
cc UKAWA
cc Mbatia
cc prof Lipumba
cc Makaidi

argue don't shout!!!!!
 
slaa nizao bovu la ccm,angalia siasa zake hazina utofauti na siasa za baazi ya viongoz wa ccm
kiongozi yoyote alie chama cha upinzani,alie wahi kumiliki kadi ya ccm. siasa zake ni zakihuni
 
Maccm na mafisadi. Muda wote wanamuota dr. Slaa. Majungu na chuki haziishi huko lumumba juu yake!
 
Hahahahaaa fikra za slaa zidumu daima, lazima wahazibiwe hawa viongozi wastafu sababu wamefirisi taifa, washitakiwe na kupigwa, kiongozi jasiri na fikra nzuri kama slaa ndio wananchi tunamuhitaji. Mtoa uziumesinyaa unadhani unamchafua kumbe ndo unampambaa. Iloooo. Slaa president.
 
huna adabu wewe, watanzania ndiyo sisi hapa, hakuna wengine hivyo Dr. slaa ndiye Rais wetu.

Sasa hv hatutafanya kosa tena, tunahitaji Rais mwenye Akili timamu za Darasani na za kuzaliwa.
 
You are the one shouting, not arguing. Slaa won the election, but your CCM won by army. If you want to know the truth go ask Mwamunyange. Slaa is a of the people.
Unapoongelea wezi wa aina ya Richmond na escrow lazima uwe na Jazba hata Lipumba huwa anakasirika. Ila ujue Slaa will not be alone like Prof. and Riz-two, he will be sarounded by other great thinkers.
In general watu wa CCM mkisikia jina Slaa yanagonga pichu. Na tutawafunga wezi wote.
 
Nyerere atakuja kuwatokea ndotoni mazombi ninyi. Kwann hamtekelezi mabaya yote aliyokuwa anakemea?
 
Ili uwe mwana CCM lazima ubongo uwe na hitirafu au ujitoe fahamu..sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anayeishabikia CCM kutoka moyoni zaidi ya unafiki na kuchumia tumbo....
 
slaa nizao bovu la ccm,angalia siasa zake hazina utofauti na siasa za baazi ya viongoz wa ccm
kiongozi yoyote alie chama cha upinzani,alie wahi kumiliki kadi ya ccm. siasa zake ni zakihuni

Bila shaka ubongo wako umestaki...inabidi tuu fomat wote labda fahamu zinaweza zikakurudia...
 
Inaonyesha CCM mnavyoharisha Mkisikia tu Dr. Slaa . Wa kwenu mmempandisha hadi Profesa mungu akampa cheo anachostahili wa kuwa Profesa wa Tezi dume. rais wa kwanza duniani kuugua Tezi dume.
 
najua unachokiogopa if dr akishakabiiwa urais,
a)unajua fika utapeli wenu mlio ufanya mkiwa madarakani utawekwa wazi
b)inshu ya baba riztz na mzee pigin wa china kuhusu madawa ya kulevya itawekwa wazi pamoja na kuchukuliwa hatua zaidi
c)mikataba feti hatokuwepo tena
d)..................
e).................!
pole sana mkuu ila inawapaswa kujianda kisaikorojia pamoja na kuwaanda wanasheria wenu.
 
Kamanda mwenzangu hapo ndipo tunapoharibu kwanini tusitumie hoja badala ya matusi..??

Matusi wanayasababisha Moderators

1. Huyu mleta mada anachochea chuki za kidin ametaja neno padri mara kadhaa na hapa siyo kanisani wala huo sio ukweli.

2. Mtoa hoja ametumia maneno kadhaa wa kadhaa ya kuudhi na kuchukia watu wa din ya ukristo kwa makusudi moderators wanaona sahihi.

3. Tumeshuhudia mada nyingi zenye mtazamo wa uchochezi wa kidin zikiondolewa, lakin mderators kwa hawa wanaochafua upinzani makusudi kupitia udin wanaacha.

4. Ni kweli kwamba tutapata kiongozi asiye nadin hapa Tanzania?

Nivema tufaham kwamba nidham ya jukwaa na members wa jukwaa hili utakuwa na maana kama moderators watakuwabalanced kwa watu wote na wadin zote. Moderators wanastahili kupewa lawama 100% kwa uchochezi na chuki za kidin hususan wakrist.
 
Matusi wanayasababisha Moderators

1. Huyu mleta mada anachochea chuki za kidin ametaja neno padri mara kadhaa na hapa siyo kanisani wala huo sio ukweli.

2. Mtoa hoja ametumia maneno kadhaa wa kadhaa ya kuudhi na kuchukia watu wa din ya ukristo kwa makusudi moderators wanaona sahihi.

3. Tumeshuhudia mada nyingi zenye mtazamo wa uchochezi wa kidin zikiondolewa, lakin mderators kwa hawa wanaochafua upinzani makusudi kupitia udin wanaacha.

4. Ni kweli kwamba tutapata kiongozi asiye nadin hapa Tanzania?

Nivema tufaham kwamba nidham ya jukwaa na members wa jukwaa hili utakuwa na maana kama moderators watakuwabalanced kwa watu wote na wadin zote. Moderators wanastahili kupewa lawama 100% kwa uchochezi na chuki za kidin hususan wakrist.

Basi tumpotezee mkuu si unajua hawa wenzetu wa upande wa pili vichwa vyao vimejaa mapilau ya kwenye kampeni.....
 
Mada kama kama hii lengo lake moja tu uchochezi nakuamsha chuki za kidini. wachangiaji wafanye kashifa na matusi kwa dini zao.

Na hapa ndipo utakapogunduwa Moderators wamelala au kwa malengo yao wanaungana kwenye kampeni za kiasa.
 
Mada kama kama hii lengo lake moja tu uchochezi nakuamsha chuki za kidini. wachangiaji wafanye kashifa na matusi kwa dini zao.

Na hapa ndipo utakapogunduwa Moderators wamelala au kwa malengo yao wanaungana kwenye kampeni za kiasa.

hutaki kuchangia ondoka sio unawalilia mods km VP pandisha Uzi WK hu upotezee si lazm ukoment
 
Mzee slaa hafai kuongoza hata kundi la bawacha kiujumla siyo kiongozi hafai kwa lolote lile hachaguliki na hatachagulika.
 
kweli mkuu nakuunga mkono! Slaa hafai kuwa rais kwa kuwa atawashughulikia wezi bila huruma, Slaa hatufai maana ni muwajibikaji, huyu hatufai maana ni mkristo pia hatufai maana anatoka kaskazini na vile vile hatufai maana muwazi sana!!! Kama taifa tunahitaji rais Handsome, rais mwenye ujasiri wa kusmehe wezi, tunahitaj rais asiyeona haya kupitisha bakuli kama omba omba kule ulaya na marekani. taifa linahitaj kiongoz anayejua mitindo mizur ya suti, rais lazima awe na mke beautiful kwa ajili ya kuuza nae sura kwenye mikutano ya kimataifa na kwa hakika rais mwenye sifa hiz hapatikan kokote zaid ya CCM... kidumu chama cha mapinduzi!!!
 
Back
Top Bottom