Kwanini wananchi hawaungi mkono juhudi za Rais?

Kwanini wananchi hawaungi mkono juhudi za Rais?

Noti mpya tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
974
Reaction score
247
Madiwani wanahama vyama vya upinzani pamoja na wabunge wao ili kuunga mkono juhudi za Rais katika kuleta maendeleo nchini. Hawa pia wanafuatwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kuhamia CCM.

Nimekuwa najiuliza sana na ninaomba tusaidiane majibu.

Kwanini hakuna wananchi wanaounga mkono juhudi hizo?

Je, wananchi hawayaoni anayofanya rais?

Maoni yangu:
Kama kuna sehem kitengo cha propaganda ccm kimefeli ni hapa... kwanini hawawahamishi na wananchi?
 
Pogba kimeo , iko hivi ukiona MTU Na likichwa likubwa au bayaa ujue either ana akili sanaaa au mpumbav aliepindukia..ukitaka jua hayo tazama matendo (maana yana akisi thinking) ..niishie hapo!
NB sijataja MTU! Tuheshimiane!
 
Naona wamepata ufahamu, maana haiwezekani mtu anakupa jiwe halafu anakwambia kula mkate huo, wkt wewe umeshaliona kuwa ni jiwe.
 
Madiwani wanahama vyama vya upinzani pamoja na wabunge wao ili kuunga mkono juhudi za Rais katika kuleta maendeleo nchini. Hawa pia wanafuatwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kuhamia CCM.
Nimekuwa najiuliza sana na ninaomba tusaidiane majibu.
Kwanini hakuna wananchi wanaounga mkono juhudi hizo?
Je, wananchi hawayaoni anayofanya rais?

Maoni yangu mimi noti mpya tz:
Kama kuna sehem kitengo cha propaganda ccm kimefeli ni hapa... kwanini hawawahamishi na wananchi?
Hao uliowataja sio wananchi wa Tanzania?
 
CCM inajiumiza pasipo kujuà,hata kama wana polisi bado nguvu ya umma ipo juu
 
Kuwa mwandishi halafu ushughulishi akili yako ni sawa na bure...hao madiwani na wabunge wanapoama ushawahi kuna kwenye box LA kura wanashindwa,wananchi wanamuunga mkono Rais Magufuli kupitia box LA kura.
 
Kuwa mwandishi halafu ushughulishi akili yako ni sawa na bure...hao madiwani na wabunge wanapoama ushawahi kuna kwenye box LA kura wanashindwa,wananchi wanamuunga mkono Rais Magufuli kupitia box LA kura.
Aisee, sio polisi na tume (NEC)?
 
Madiwani wanahama vyama vya upinzani pamoja na wabunge wao ili kuunga mkono juhudi za Rais katika kuleta maendeleo nchini. Hawa pia wanafuatwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kuhamia CCM.
Nimekuwa najiuliza sana na ninaomba tusaidiane majibu.
Kwanini hakuna wananchi wanaounga mkono juhudi hizo?
Je, wananchi hawayaoni anayofanya rais?

Maoni yangu mimi noti mpya tz:
Kama kuna sehem kitengo cha propaganda ccm kimefeli ni hapa... kwanini hawawahamishi na wananchi?
Kwa mfano, HILI LA UKISOMA shule za PRIVATE hutapata mkopo elmu ya juu..!!! UNADHANI ANAWAAMBIA AKINA NANI? Hizo private ni za akina nani?
 
Madiwani wanapewa kiinua mgongo ili waunge mkonoo juhudi.NI muda muafaka kwa wananchi nao wapewe kiinua mgongo.
 
Kwani wale wanao wanaoshangilia kwenye hotuba za jiw ni akina nani
 
Madiwani wanahama vyama vya upinzani pamoja na wabunge wao ili kuunga mkono juhudi za Rais katika kuleta maendeleo nchini. Hawa pia wanafuatwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kuhamia CCM.
Nimekuwa najiuliza sana na ninaomba tusaidiane majibu.
Kwanini hakuna wananchi wanaounga mkono juhudi hizo?
Je, wananchi hawayaoni anayofanya rais?

Maoni yangu mimi noti mpya tz:
Kama kuna sehem kitengo cha propaganda ccm kimefeli ni hapa... kwanini hawawahamishi na wananchi?
Kwani ulivyotaka kuhama wamekukatalia? Si unahama tu,Wananchi tunaunga mkono kazi nzuri inayofanywa na Rais wetu.
 
Back
Top Bottom