Habari wadau wote wa JF
Najiuliza ili swali bado sipati jibu katika pitapita zangu kwenye kuitafta riziki nakutana Sana na watumishi wengi wa serikali kama madaktar, askari Mafsa ugani, manes nk
Katika uchunguzi wangu wote wana kero mbalimbali but hawa'' maticha zetu" naona ni too much yani daily utaskia kamshahara kadogo nmechoka na hii lazi mara kazi hii ni ngumu sana na mengine mengi.
Ivi ni kweli serikali inawalipa mshahara mdogo kuliko watumishi wengine au nni tatizo kwa hawa walimu?
Najiuliza ili swali bado sipati jibu katika pitapita zangu kwenye kuitafta riziki nakutana Sana na watumishi wengi wa serikali kama madaktar, askari Mafsa ugani, manes nk
Katika uchunguzi wangu wote wana kero mbalimbali but hawa'' maticha zetu" naona ni too much yani daily utaskia kamshahara kadogo nmechoka na hii lazi mara kazi hii ni ngumu sana na mengine mengi.
Ivi ni kweli serikali inawalipa mshahara mdogo kuliko watumishi wengine au nni tatizo kwa hawa walimu?
