Kwanini walimu ndo wanaongoza kwa kuchapiwa na usimp mwingi?

Kwanini walimu ndo wanaongoza kwa kuchapiwa na usimp mwingi?

Sina chuki na walimu mm mwenyw mwalimu

Nikisoma btn the Lines.
Ww sio Mwalimu.

Bali unamjua mwalim mmoja ambaye yuko huku na unamchukia kwahiyo unamfikishia ujumbe.

Kuwa yeye ni mshamba wa wanawake. Hana hela na akiwa na kesi hata ya mill 3 atafungwa na mke wake anachapwa nje šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚.

Kama unajua ID yake mtag kabisa umalizane nae. La sivyo bado utanshushia tu nyuzi za kumnanga.
 
Nikisoma btn the Lines.
Ww sio Mwalimu.

Bali unamjua mwalim mmoja ambaye yuko huku na unamchukia kwahiyo unamfikishia ujumbe.

Kuwa yeye ni mshamba wa wanawake. Hana hela na akiwa na kesi hata ya mill 3 atafungwa na mke wake anachapwa nje šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚.

Kama unajua ID yake mtag kabisa umalizane nae. La sivyo bado utanshushia tu nyuzi za kumnanga.
Hapana ni mwalimu mm
 
Kijana wa hovyo akiwa katika ubora wake. Mke ni furaha ya mmewe ukioa ndo utajua uchungu wa kugongewa.
 
Acha kua na chuki za Dini mkuu utapata stress hiyo Imani sio ya mama ako au Baba yako, tena mda sio mrefu ntakuletea research xingine za theological ziko kama 200, ziko tayari kwa discussions.
maalim covax, umeandika sana mpaka ukachoka mjuba, mwisho ukaonekani ni mdini, muislam kindakindaki mfia dini
 
Suala la kuchapiwa halina ukada, yeyote anaweza kuchapiwa tu
 
Wakurugenzi wenyewe tu wanachapiwa sembuse walimu? Kama una mke malaya utachapiwa tu
 
Wakurugenzi wenyewe tu wanachapiwa sembuse walimu? Kama una mke malaya utachapiwa tu
Tatzo utak kuelewa mada unachangia kama kuku alokatwa kichwa na hili ndo tatzo la watanzania, hapo nimesema katika wafanyakazi wa serikali walimu ndo wanachapiwa sana kuliko kada yeyote ile, hapo sijasema kama wengine hawachapiwi bali nimeangalia rate ya kuchapiwa
 
Wakuu habar za asubuhi

Kuna karesearch nimekufanya kwa kuzingatia mambo fulan fulan nimekuja kugundua asilimia karibia 70 ya wafanyakazi wa serikali wanaongoza kwa kuchapiwa wake zao ni walimu.

Pia asilimia 90+ ya wafanyakazi wa serikali wanaongoza kwa usimp ni walimu.

Yani wao kugongewa wake zao na boda boda, wauza chips na wakopesha viombo ( waha) na wakopesha pesa ( kausha damu) limekua jambo la kawaida sana.

Imefika wakat sasa kila mtu mtaani akijue yule ni mke wa mwalimu hata kama anasura ya Babu lkn wahuni watataka wamkamie hadi wamle hivohvo bila huruma yeyote.

Ukija Kwenye usimp ndo usiseme, karibia nyuzi nying humu za wanao lilia kuhusu mapenz ni walimu ( sina uhakika sana)

Hasira zao sasa ni kukamia vibinti vya form 1 hadi 4, na wanawakamia Kwelkwel, mwanafunz akiwa chuma haswa lazma walimu hata watano wapite nae.

Kwann hali hii inawakuta hii KADA?
Na wewe mwanaume wa kwanza kukutoa nywinywinywi alikuwa Mwalimu wako wa Mathe ?
 
Back
Top Bottom