Kwanini wale wale CCM kila siku?

Kwanini wale wale CCM kila siku?

Ibrahim K. Chiki

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
594
Reaction score
163
Aiseee..

Nimeona Niulize, Ni Kweli Kwamba Kati Ya Wana Ccm/ watanzania Mil 40, wanakosekana watu wapya ili walete changamoto mpya kwenye vyama vyetu?

Na Sii Tuu Kwa Vyama Hata Kwa Taifa. MAANA kila Kikuchwa ni Wale Wale Wanaofanya Yale Yale. Hii nini hasa inachochea?
 
Aiseee..

Nimeona Niulize, Ni Kweli Kwamba Kati Ya Wana Ccm/ watanzania Mil 40, wanakosekana watu wapya ili walete changamoto mpya kwenye vyama vyetu?

Na Sii Tuu Kwa Vyama Hata Kwa Taifa. MAANA kila Kikuchwa ni Wale Wale Wanaofanya Yale Yale. Hii nini hasa inachochea?
Watanzania million 40 sensa ya mwaka gani mkuu?

Au wamepungua baada ya mwendakuzimu kuua watu wengi?
 
Vyama vyote vinafanana tu, CCM walewale, CDM mwenyekiti ni yeye tu alfa na omega, TLP ndio hivyo tena, CuF ni yeye tu, NCCR ni mbatia daily hivyo hakuna jipya
 
"CCM ina wenyewe" na hao "wenyewe" ni hao unao waona kwenye awamu hii ya mama.
 
Vyama vyote vinafanana tu, CCM walewale, CDM mwenyekiti ni yeye tu alfa na omega, TLP ndio hivyo tena, CuF ni yeye tu, NCCR ni mbatia daily hivyo hakuna jipya
Naona umelazimisha tu kuwaweka wengine ili ujiliwaze, mfano Kinana alikuwa KM leo ni MM, niambie nani huko upinzani hasa Chadema amewahi kushika nafasi mbili tofauti ndani ya chama chake tena kwa nyakati tofauti?

Hao kwangu ndio walafi.
 
bado kidogo utasikia bi hawa ghasia kapewa uwaziri
 
Aiseee..

Nimeona Niulize, Ni Kweli Kwamba Kati Ya Wana Ccm/ watanzania Mil 40, wanakosekana watu wapya ili walete changamoto mpya kwenye vyama vyetu?

Na Sii Tuu Kwa Vyama Hata Kwa Taifa. MAANA kila Kikuchwa ni Wale Wale Wanaofanya Yale Yale. Hii nini hasa inachochea?
Vijana wamekuwa machawa hawana hoja wala ubunifu wo wote wamebaki kusifia kila kitu hata kucheka kwa kiongozi wao!

Kwa hiyo CCM haina namna bali kuwarudisha (recycle) viongozi wakongwe!
 
Kwani hujui kwamba tozo unazolipa ni tamu sana?
16418874249070.jpg
 
Aiseee..

Nimeona Niulize, Ni Kweli Kwamba Kati Ya Wana Ccm/ watanzania Mil 40, wanakosekana watu wapya ili walete changamoto mpya kwenye vyama vyetu?

Na Sii Tuu Kwa Vyama Hata Kwa Taifa. MAANA kila Kikuchwa ni Wale Wale Wanaofanya Yale Yale. Hii nini hasa inachochea?
CCM na nchi ina wenyewe!
 
Back
Top Bottom