Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Aiseee..
Nimeona Niulize, Ni Kweli Kwamba Kati Ya Wana Ccm/ watanzania Mil 40, wanakosekana watu wapya ili walete changamoto mpya kwenye vyama vyetu?
Na Sii Tuu Kwa Vyama Hata Kwa Taifa. MAANA kila Kikuchwa ni Wale Wale Wanaofanya Yale Yale. Hii nini hasa inachochea?
Nimeona Niulize, Ni Kweli Kwamba Kati Ya Wana Ccm/ watanzania Mil 40, wanakosekana watu wapya ili walete changamoto mpya kwenye vyama vyetu?
Na Sii Tuu Kwa Vyama Hata Kwa Taifa. MAANA kila Kikuchwa ni Wale Wale Wanaofanya Yale Yale. Hii nini hasa inachochea?