GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
U-much know sana ndo kinawagarimu, kujimwambafai, kuongea saana bila kuchunga midomo na kauli zao.Enyi Wakuu wa Wilaya za Temeke Godwin Gondwe na Iringa Richard Kasesela nitafuteni GENTAMYCINE upesi ili niweze 'Kuwabariki' na 'Mkono' wangu wa 'Baraka' ili nanyi msiwe mnasahaulika Kupandishwa 'Vyeo' Serikalini japo huwa 'mnachakarika' sana kwa Msaada wa Makamera ili Juhudi zenu zionekane Ikulu za Magogoni na Chamwino.
Kuna kitu Kimoja tu Kinachowagharimu.
Thubutu!!!Richard Tuntufye Kasesela.......anaweza kupata ubalozi!
Wa nyumba kumi ndioRichard Tuntufye Kasesela.......anaweza kupata ubalozi!
Oyaa Tuliza matako wewe!! Tuliza matako wewe!! Nimeisikia sauti inanijia masikion.Enyi Wakuu wa Wilaya za Temeke Godwin Gondwe na Iringa Richard Kasesela nitafuteni GENTAMYCINE upesi ili niweze 'Kuwabariki' na 'Mkono' wangu wa 'Baraka' ili nanyi msiwe mnasahaulika Kupandishwa 'Vyeo' Serikalini japo huwa 'mnachakarika' sana kwa Msaada wa Makamera ili Juhudi zenu zionekane Ikulu za Magogoni na Chamwino.
Kuna kitu Kimoja tu Kinachowagharimu.
Huyu wakati wake kupumzishwa.Richard Tuntufye Kasesela.......anaweza kupata ubalozi!
Labda wa Nyumba kumi wa CCMRichard Tuntufye Kasesela.......anaweza kupata ubalozi!
Hao hawana lawama, na ni watu wenye maadili.Enyi Wakuu wa Wilaya za Temeke Godwin Gondwe na Iringa Richard Kasesela nitafuteni GENTAMYCINE upesi ili niweze 'Kuwabariki' na 'Mkono' wangu wa 'Baraka' ili nanyi msiwe mnasahaulika Kupandishwa 'Vyeo' Serikalini japo huwa 'mnachakarika' sana kwa Msaada wa Makamera ili Juhudi zenu zionekane Ikulu za Magogoni na Chamwino.
Kuna kitu Kimoja tu Kinachowagharimu.
Kuna Mtu asiyetaka Promotion? Moron.Kwani walisema wanataka kupandishwa vyeo?
Nina Cheo tu cha Kiroho cha Maulana.Uwape mkono wako wa Baraka?
Wewe mwenye Baraka una cheo gani?
Hakumfikia Dokta Maua DaftariUnamkumbuka naibu 'waziri wa kudumu?' Naibu waziri wa wakati wote aliyekaa muda mrefu zaidi kwenye nafasi hiyo hadi akalalamika?
Namuongelea Makongoro Mahanga.
Kumbe wewe unaitwa Moron. Walikuwambia anataka promotion?Kuna Mtu asiyetaka Promotion? Moron.
Sinto shangaa, jirani yake tangu akiwa mtoto anasukuma guta leo hii.Richard Tuntufye Kasesela.......anaweza kupata ubalozi!