Wewe unatatizo la kufsiri lugha ya kiarabu kwa muundo wa sisisi kuja kiswahili,jifunze lugha ili uwe mkweli,hapa si sehemu ya kudhihirisha tabia ya uongo
mengele pata muda mzuri kupitia mada ili unapokuja na hoja au malalamiko yawe yanaeleweka. Umerukia mada. Aliyesema kuwa Qurani inasema hakuna Mungu amejifanya hafahamu kiswahili kama anafahamu angeelewa kuwa aya inasema kuwa Mungu wa kweli ni Allah pekee.
Nimempa aya za biblia pia ambazo ukizitoa katika uhalisia(context) zinatafsirika kuwa biblia inasema kuwa hakuna Mungu.
Kama utalielewa hili basi umeongeza maarifa.