RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,347
- 2,957
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni kijana kutokana na utafutaji wa pesa haswa kipindi hiki cha matumizi makubwa ya social networks haswa Tanzania nikaona nianzishe secret business ya uagent wa dawa za asili (tiba asili) nikafungua page Facebook na imefanikiwa kufikisha likes 841 na followers kadhaa na ina muda kidogo kama mwaka mmoja sasa.
Kitu kinachonishangaza na kitu ambacho nilikuwa sikijui kabla ni kwamba yaani wadada wengi kumbe wanatamani kuwa na matako makubwa na kuongezeka hips, maana kupitia page yangu ya biashara Inbox messages nyingi nazozipata ni za wadada wakiulizia dawa za kuongeza matako na hips tu, na mmoja mmoja anayeulizia dawa tofauti.
Kitu nilichokuja kugundua wasichana wengi wa kitanzania wanathamini matako na hips kuliko kitu chochote kutokana na research data za page yangu kwa sample yakutosha tu.
Mimi ni kijana kutokana na utafutaji wa pesa haswa kipindi hiki cha matumizi makubwa ya social networks haswa Tanzania nikaona nianzishe secret business ya uagent wa dawa za asili (tiba asili) nikafungua page Facebook na imefanikiwa kufikisha likes 841 na followers kadhaa na ina muda kidogo kama mwaka mmoja sasa.
Kitu kinachonishangaza na kitu ambacho nilikuwa sikijui kabla ni kwamba yaani wadada wengi kumbe wanatamani kuwa na matako makubwa na kuongezeka hips, maana kupitia page yangu ya biashara Inbox messages nyingi nazozipata ni za wadada wakiulizia dawa za kuongeza matako na hips tu, na mmoja mmoja anayeulizia dawa tofauti.
Kitu nilichokuja kugundua wasichana wengi wa kitanzania wanathamini matako na hips kuliko kitu chochote kutokana na research data za page yangu kwa sample yakutosha tu.