Columbus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,002
- 648
Tumeshuhudia kashfa nyingi huko Bongo lakini wakosaji hawawajibishwi,hivi ni kwanini?EPA,RICHMOND,KAGODA,MEREMETA,RADA,IPTL,KIWIRA COALMINE,UDOM na nyingine mnaweza kuziorodhesha hapa.
Je hakuna kifungu cha sheria au katiba kinachoweza kuwawajibisha wahusika? Huku viongozi wa serikali na makampuni wanawajibika ipasavyo vinginevyo umekwisha na ndio maana wanaendelea.
Je hakuna kifungu cha sheria au katiba kinachoweza kuwawajibisha wahusika? Huku viongozi wa serikali na makampuni wanawajibika ipasavyo vinginevyo umekwisha na ndio maana wanaendelea.