Kwanini wake za watu ni watamu zaidi?

Kwanini wake za watu ni watamu zaidi?

kiben10

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
615
Reaction score
791
Naomba kuwauliza vijana wenzangu ambao bado hatujaoa na ambao hata pia wameoa ila tunaWagegeda wake za watu.
Hii ni mara yangu ya 4 kuwagegeda wake za watu na kila mmoja wao hataki tuachane na wote hadi hivi sasa naandika ujumbe huu ninawapangia ratiba ya kuwagegeda ila hawajuani.

Sasa naombeni tupeane hapa mautundu ambayo waume zao hawayawezi tuwapo tunawagegeda na wanazidi kutupenda.

Maoni yako ni njia ya kujua hata wewe uliooa tunakuzidi nini sisi ambao tunawachapia wake zenu?????

"Weekend mood na kubet usisahau"
 
Hao wanawake na wewe akili zenu zinafanana, kwa style hii tutadharaulika sana wanawake kwa kuwa wajinga na kuvunja ndoa zetu kwa mikono yetu wenyewe

Naelewa mpaka mtu unakubali kuolewa means umekubali kua mke wa mtu na kua na heshima na kuitumikia ndoa yako kwa dhati na moyo mkunjufu

Mungu atusamehe ndoa na iheshimiwe na watu wote
 
Naomba kuwauliza vijana wenzangu ambao bado hatujaoa na ambao hata pia wameoa ila tunaWagegeda wake za watu.
Hii ni mara yangu ya 4 kuwagegeda wake za watu na kila mmoja wao hataki tuachane na wote hadi hivi sasa naandika ujumbe huu ninawapangia ratiba ya kuwagegeda ila hawajuani.

Sasa naombeni tupeane hapa mautundu ambayo waume zao hawayawezi tuwapo tunawagegeda na wanazidi kutupenda.

Maoni yako ni njia ya kujua hata wewe uliooa tunakuzidi nini sisi ambao tunawachapia wake zenu?????

"Weekend mood na kubet usisahau"
Mkuu ni watamu kwa sababu waume zao hawataki kuwa amberruty sasa wewe kula huo utamu watakuja kujifunzia kwako .
 
Hao wanawake na wewe akili zenu zinafanana, kwa style hii tutadharaulika sana wanawake kwa kuwa wajinga na kuvunja ndoa zetu kwa mikono yetu wenyewe

Naelewa mpaka mtu unakubali kuolewa means umekubali kua mke wa mtu na kua na heshima na kuitumikia ndoa yako kwa dhati na moyo mkunjufu

Mungu atusamehe ndoa na iheshimiwe na watu wote
Naunga mkono juhudi zako za kutoa point hii
 
Hao wanawake na wewe akili zenu zinafanana, kwa style hii tutadharaulika sana wanawake kwa kuwa wajinga na kuvunja ndoa zetu kwa mikono yetu wenyewe

Naelewa mpaka mtu unakubali kuolewa means umekubali kua mke wa mtu na kua na heshima na kuitumikia ndoa yako kwa dhati na moyo mkunjufu

Mungu atusamehe ndoa na iheshimiwe na watu wote
Madam wewe hujawahi kugegedwa na ndoa yako hiyo? Au ndio unajiliza coz tunawagegeda vzr sana?
 
Mkuu ni watamu kwa sababu waume zao hawataki kuwa amberruty sasa wewe kula huo utamu watakuja kujifunzia kwako .
Aisee if wewe hujamla mke wa mtu hadi umri huo basi ni muoga wa mapenzi sio bure ila hawatishi kama zamani bhana siku hizi hakuna cha kuwafanyia dawa sijui ukiwala unaganda kwa skin to skin, sijui unatoa samaki wakati ya kukojoa, siku unakuta bwawa??? Ila hawa wake za watu utam wao unawazidi hata wasichana Bikira
 
Hao wanawake na wewe akili zenu zinafanana, kwa style hii tutadharaulika sana wanawake kwa kuwa wajinga na kuvunja ndoa zetu kwa mikono yetu wenyewe

Naelewa mpaka mtu unakubali kuolewa means umekubali kua mke wa mtu na kua na heshima na kuitumikia ndoa yako kwa dhati na moyo mkunjufu

Mungu atusamehe ndoa na iheshimiwe na watu wote
Mwmbie Huyo mpuuzi.sio kila alieolewa ni mke.wenginine wanaigiza tu.
 
Aisee if wewe hujamla mke wa mtu hadi umri huo basi ni muoga wa mapenzi sio bure ila hawatishi kama zamani bhana siku hizi hakuna cha kuwafanyia dawa sijui ukiwala unaganda kwa skin to skin, sijui unatoa samaki wakati ya kukojoa, siku unakuta bwawa??? Ila hawa wake za watu utam wao unawazidi hata wasichana Bikira
Mkuu nilishawala sana kipindi kile lakini baada ya kutafakari sana nimeona ni moja kati ya makosa makubwa sana kuwahi kuyafanya tangu nizaliwe kwa sababu nami nategemea kuoa je siku nikisikia wa kwangu anamegwa nitakuwa katika hali gani?

Ni maumivu makali sana.
 
Aisee we jamaa acha kabisa hii kitu kama ni Kweli, acha kabisa labda kama huna mpango wa kuoa maishani ... Karma ( i wonder if he real exist)


but he is so strong.... "What goes around comes around"
(This is his favourite Quote)



One more thing....

Kama unaweza kuukanyaga moto bila viatu usiungue au kuuzimia kifuani pako moto wa mafuta bila wewe kuungua hata kidogo big up bro and keep that ball rolling...

For the word of God in (Proverb 6;27-29 CJB) says...

27 Can a man carry fire his shirt
without burning his clothes?
28 Can a man walk [barefoot] on hot coals
without scorching his feet?
29 So is he who has sex with his neighbor’s wife;
anyone touching her will be punished.
 
Mkuu nilishawala sana kipindi kile lakini baada ya kutafakari sana nimeona ni moja kati ya makosa makubwa sana kuwahi kuyafanya tangu nizaliwe kwa sababu nami nategemea kuoa je siku nikisikia wa kwangu anamegwa nitakuwa katika hali gani?

Ni maumivu makali sana.
Ila kweli mkuu
 
Back
Top Bottom