Kwanini wake za watu ni watamu zaidi?

Kwanini wake za watu ni watamu zaidi?

Mkuu ukija kuoa, utakuja kuelewa maumivu ya kugegedewa mke...

unaelewa wanavyosema 'malipo ni hapa hapa duniani?'
 
HAKUNA THREAD YA KIBOYA NILIYOSOMA TANGIA NIJIUNGE JF KAMA HII
Utakuwa mke ameshaliwa na sasa una mihasira yako sio bure si ata watufate wewe si kazi yetu ni kuwagegeda tu hakuna namna tena hawatagi sijui bao 2 or 3 hao wanahitaji Full Ndondo zisipungue 5+ kwa bet tunaiita Over 5.5[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnaomuandama OP kuwa naye mke wake ataliwa mnanishangaza. Si kweli kuwa kila anayegongewa mkewe naye aligonga mke wa mtu, hivyo basi si kila anayegonga wake za watu naye mkewe atagongwa na watu.

Tafuteni namna nyingine ya kumkanya. Mbona madhara yako mengi?

Mfano, inaweza kuleta mfarakano ndani ya familia, wakaathirika watoto kwa kupewa malezi substandard.

Mtu anayeweza kutembea na mke wa mtu anaonyesha kuwa hajali uchungu wa mke na kiapo cha ndoa. Sio ishu kwake. Jaribuni kuelezea madhara mengine yanayoweza kutokea kutokana na matendo yake na si yeye kumegewa au kupelekewa moto. Ironically, unaweza kukuta hii risk factor ndiyo inamuongezea excitement ya kuendelea.

Mwambieni kuwa anaweza kusababisha madhara ya kudumu kwa binadamu wengine, tena wengi tu. Kwasababu huwezi jua vitu vingapi vinategemea uhai wa hiyo ndoa. Huenda hilo likamshitua.
 
Mnaomuandama OP kuwa naye mke wake ataliwa mnanishangaza. Si kweli kuwa kila anayegongewa mkewe naye aligonga mke wa mtu, hivyo basi si kila anayegonga wake za watu naye mkewe atagongwa na watu.

Tafuteni namna nyingine ya kumkanya. Mbona madhara yako mengi?

Mfano, inaweza kuleta mfarakano ndani ya familia, wakaathirika watoto kwa kupewa malezi substandard.

Mtu anayeweza kutembea na mke wa mtu anaonyesha kuwa hajali uchungu wa mke na kiapo cha ndoa. Sio ishu kwake. Jaribuni kuelezea madhara mengine yanayoweza kutokea kutokana na matendo yake na si kupelekewa moto au naye kumegewa. Mwambieni kuwa anaweza kusababisha madhara ya kudumu kwa binadamu wengine, tena wengi tu. Huenda hilo likamshitua.
Yaani wewe kidogo mchango wako uko na kichwa ila miguu tu ndio imekosekana
 
Naomba kuwauliza vijana wenzangu ambao bado hatujaoa na ambao hata pia wameoa ila tunaWagegeda wake za watu.
Hii ni mara yangu ya 4 kuwagegeda wake za watu na kila mmoja wao hataki tuachane na wote hadi hivi sasa naandika ujumbe huu ninawapangia ratiba ya kuwagegeda ila hawajuani.

Sasa naombeni tupeane hapa mautundu ambayo waume zao hawayawezi tuwapo tunawagegeda na wanazidi kutupenda.

Maoni yako ni njia ya kujua hata wewe uliooa tunakuzidi nini sisi ambao tunawachapia wake zenu?????

"Weekend mood na kubet usisahau"
Laana za vizazi vyako vinavyokuja ndio unazitengeneza kwa kutembea na wake za watu.....be careful
 
Naomba kuwauliza vijana wenzangu ambao bado hatujaoa na ambao hata pia wameoa ila tunaWagegeda wake za watu.
Hii ni mara yangu ya 4 kuwagegeda wake za watu na kila mmoja wao hataki tuachane na wote hadi hivi sasa naandika ujumbe huu ninawapangia ratiba ya kuwagegeda ila hawajuani.

Sasa naombeni tupeane hapa mautundu ambayo waume zao hawayawezi tuwapo tunawagegeda na wanazidi kutupenda.

Maoni yako ni njia ya kujua hata wewe uliooa tunakuzidi nini sisi ambao tunawachapia wake zenu?????

"Weekend mood na kubet usisahau"
Jaribu waume za watu, ni watamu zaidi, muulize demu wako atakwambia
 
Back
Top Bottom