Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Wewe ni muongo mie napenda sana mademu wa kihaya kwanza wana maumbo mazuri na wanaijua shughuli ya kumegana vizuri kwelikweli . Kinachowafanya kutokubalika 100% katika jamii ni majivuno na majigambo yasiyo na maana mfano ni yule muhaya wa kipindi cha ze komedi!
Wewe ni muongo mie napenda sana mademu wa kihaya kwanza wana maumbo mazuri na wanaijua shughuli ya kumegana vizuri kwelikweli . Kinachowafanya kutokubalika 100% katika jamii ni majivuno na majigambo yasiyo na maana mfano ni yule muhaya wa kipindi cha ze komedi!
Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?
Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?
Wewe ni muongo mie napenda sana mademu wa kihaya kwanza wana maumbo mazuri na wanaijua shughuli ya kumegana vizuri kwelikweli . Kinachowafanya kutokubalika 100% katika jamii ni majivuno na majigambo yasiyo na maana mfano ni yule muhaya wa kipindi cha ze komedi!
Swala la kumegana na majivuno ni la mtu binafsi na si la kabila fulani. Kwani ni kabila gani linakubalika 100% ??
Hapa sioni hoja!!
Tangu umejiunga JF sijawahi kuona umetoa mawazo yanayo jenga mwananchi ila unaweka porojo ambazo huwa maranyingi ni za kuongelea kilabuni.
Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?
Swala la kumegana na majivuno ni la mtu binafsi na si la kabila fulani. Kwani ni kabila gani linakubalika 100% ??
Hapa sioni hoja!!
Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?
Ha ha ha!! Bujibuji in fwakti watu wengi wana inferiority complex wakimuona Mhaya Buana!!
Sisi ni nshomire for real!
Nina Phd na siyo feki kama ya waziri fulani, jirani yangu wa Kakiziba naye ana Phd ya marine sciences.
Pale Kigarama kaka zangu wengi tu tunashindama kusoma.
Sisi tuna confidence na hatuheshimu mtu asiyejiamini.
IQ zetu ni excellent, tunaweza kuona loopholes zinazomaanisha pesa katika kila mkataba!We make very good lawyers and advocates.
Pale kijiji cha Kanyigo kuna wahandisi waliobobea katika fani hiyo.
Sasa nashindwa kuelewa tatizo lako maana sisi tunaweza kukaa mahali popote na mtu yeyote bila kuogopa.
Kama ulikimbia umande, then I am very soooorry!!
achana na hao watu...wanapenda sana kumega/kumegwa nnje tena bila usalama wowote...ngoma nje nje hapo...