Kwanini wahaya wanaogopwa?

Kwanini wahaya wanaogopwa?

Hii ni prejudice kubwa sana!Jamani kwa wasomi wote lazima tukubali mchango uliotolewa na wahaya kwanza kiroho,the late first african Cardinal,Laurean Rugambwa,top class secondary schools miaka ile,seminaries na madoctor wengi hapo Muhimbili ,bila kusahau good lecturers.

Tatizo kubwa Tanzania sasa sio Ukabila,bali elittism na udini.Tumeona mafisadi wengi ni mkabila mchanganyiko,kwa hiyo kuwalenga wahaya sio usuluhishi.
 
Mimi wahaya wanachonifurahisha ni mapenzi yao na elimu. Hapo tu! Nchi nzima ingekuwa na moyo kama huo ingekuwa poa sana.
 
Tatizo la wahaya ni ukabila, sio kwamba wanaogopwa yaani saa nyingine inaudhi wanajipendelea kijinga sana. Kama mnabisha angalia sehemu zote ambazo wahaya ni viongozi wakuu. Hii topic ingeenda kwenye ile ya ukabila Mods! LOL
 
Carl Peters na King Leopold of Belgium inabidi wafufuliwe ili washitakiwe for crimes against the BAHAYA nation.it was during the Berlin conference ambapo walitutupa on the wrong side of the divide-kutokana na kosa hili hata mchango wetu kwa taifa hautambuliki,tunachekwa at every turn,kwa kifupi we are a subject of radicule from every angle in tanzania-haya yote yasingetokea had we been part of UGANDA
 
Carl Peters na King Leopold of Belgium inabidi wafufuliwe ili washitakiwe for crimes against the BAHAYA nation.it was during the Berlin conference ambapo walitutupa on the wrong side of the divide-kutokana na kosa hili hata mchango wetu kwa taifa hautambuliki,tunachekwa at every turn,kwa kifupi we are a subject of radicule from every angle in tanzania-haya yote yasingetokea had we been part of UGANDA

Kaka, samahani kwa kukuuliza, Alaska ndio jina la baba yako mzazi au wewe ni mzaliwa wa alaska?
maana kama Alaska sio jina la baba yako mzazi na unaona fahari kujiita mwana Alaska , basi hatuna la kusema, ila tu kukumbuka maneno tuliyoambiwa na wazazi wetu kuwa kuwa uyaone,
kuishi kwingi ni kuona mengi, mkataa kwao mtumwa na mengine yanayofanana na hayo.
 
Back
Top Bottom