Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 wafuasi wa CHADEMA walitamka waziwazi hawamtambui Dr.Magufuli kama Rais na badala yake walimtambua Lowassa kama "Rais wa mioyo yao"
Kwanini Tundu hatajwi kama "Rais wa mioyo ya wafuasi wa CHADEMA?"kuna jambo gani linaendelea?
Au Tundu si chaguo lao kama ilivyokuwa kwa Lowassa mwaka 2015?
Tujadili kwa utulivu
Baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 wafuasi wa CHADEMA walitamka waziwazi hawamtambui Dr.Magufuli kama Rais na badala yake walimtambua Lowassa kama "Rais wa mioyo yao"
Kwanini Tundu hatajwi kama "Rais wa mioyo ya wafuasi wa CHADEMA?"kuna jambo gani linaendelea?
Au Tundu si chaguo lao kama ilivyokuwa kwa Lowassa mwaka 2015?
Tujadili kwa utulivu