Kwanini wafanyakazi hatuna TIN numbers?

Kwanini wafanyakazi hatuna TIN numbers?

Nashangazwa na hii mamlaka ya mapato TRA.

Wafanyakazi ni walipa kodi wazuri na hawana pa kukwepea lakini maajabu ni kuwa hawana hata namba ya kuwatambua kama wao nao ni walipa kodi yaani TIN namba.
Kweli mkuu ,hii sio sawa,alafu bado mfanyakazi akianzisha kimradi ananyongwa why pia kodi katika mshahara wake usitumike pia katika makadirio ya mapato ata Kama nikuongezea pale anapoanzisha kimradi chake ,au kiuchumi ina madhara, wachumi wasaidie not fair
 
Kweli mkuu ,hii sio sawa,alafu bado mfanyakazi akianzisha kimradi ananyongwa why pia kodi katika mshahara wake usitumike pia katika makadirio ya mapato ata Kama nikuongezea pale anapoanzisha kimradi chake ,au kiuchumi ina madhara, wachumi wasaidie not fair
Bado hujapata TIN au unajadili nini hapa?
 
By the way unatumia payroll number ya mwajiri wako... Yeye ndiye anayekusanya kodi yenu na kuipeleka TRA. By the way kama huna TIN number mpaka leo, you are the poorest of the poor! Hivi ina maana hata leseni ya kuendesha gari au boda boda hauna? Maana hiyo tu kuipata lazima uwe na TIN. Jiongeze bhana 2016 usitie aibu!
Swala la mtoa mada why mfanyakazi yeye mwenye Makato ya kodi asikatwe binafsi kupitia tin binafsi ili atambulike Kama mlipaji binafsi kwani mwajiri akikusanya,au tra ikakusanya direct kutoka kwake Kuna shida gani
 
TIN namba anakuwa nayo mwajiri wako ambaye ndiye mwenye jukumu la kupeleka kodi zote za wafanyakazi walioko chini yake

Kwa nn inafanyika hivyo?
Naamini ni kutoa urahisi wa usimamizi na ufuatiliaji wa kodi husika hasa kwa kuzingatia kuwa anaewasilisha kodi ni Mwajiri.

Chukulia mfano una wafanyakazi 200 kila mmoja akiwa na TIN namba yake maana yake italazimika kodi kulipwa kwa namba hizo....inaweza kuwa kwa namna mbili....moja ni wewe mwenyewe kwenda kulipa TRA mwenyewe au mwajiri kuwa na sheet ambayo itakuwa na jina, TIN namba na PAYE ya kila mfanyakazi jambo ambalo ni usumbufu mkubwa na huweka ugumu wa ufuatiliaji

Kwa watu wa TRA ni rahisi kwao kufuatilia kwani wakitaka kujua nidhamu ya uwasilishaji wanaweza kuja kwenye shirika/ofisi na ku-sample baadhi ya salary slip na kuangalia kama kilochowalishwa TRA kwa kila mfanyakazi ni sawa na kilichopo
Kwasasa hivi inalipwaje?

kwenye makato yao ya PAYE kwenye salary slip

Hivyo binafsi naona itakuwa na ugumu wa administration ya PAYE kama kila mfanyakazi atakuwa na TIN yake

Nionavyo mimi lakini and I stand to be ccorrect
Wanasema anakusanya mwajiri na kuwakilisha TRA pitia namber ya mlipakodi ya mwajiri, hii mkuu waona ni sawa
 
TIN namba anakuwa nayo mwajiri wako ambaye ndiye mwenye jukumu la kupeleka kodi zote za wafanyakazi walioko chini yake

Kwa nn inafanyika hivyo?
Naamini ni kutoa urahisi wa usimamizi na ufuatiliaji wa kodi husika hasa kwa kuzingatia kuwa anaewasilisha kodi ni Mwajiri.

Chukulia mfano una wafanyakazi 200 kila mmoja akiwa na TIN namba yake maana yake italazimika kodi kulipwa kwa namba hizo....inaweza kuwa kwa namna mbili....moja ni wewe mwenyewe kwenda kulipa TRA mwenyewe au mwajiri kuwa na sheet ambayo itakuwa na jina, TIN namba na PAYE ya kila mfanyakazi jambo ambalo ni usumbufu mkubwa na huweka ugumu wa ufuatiliaji

Kwa watu wa TRA ni rahisi kwao kufuatilia kwani wakitaka kujua nidhamu ya uwasilishaji wanaweza kuja kwenye shirika/ofisi na ku-sample baadhi ya salary slip na kuangalia kama kilochowalishwa TRA kwa kila mfanyakazi ni sawa na kilichopo kwenye makato yao ya PAYE kwenye salary slip

Hivyo binafsi naona itakuwa na ugumu wa administration ya PAYE kama kila mfanyakazi atakuwa na TIN yake

Nionavyo mimi lakini and I stand to be ccorrect


Naunga mkono Hoja yako..ni sawa na mteja anae nunua bidhaa madukani,mwenye TIN ni mwenye duka ila wateja ambao ndio walipa kodi hatuna Tin ata kama umenunua Mali za milion 300

Nani anasema?

Wewe ni mwajiriwa?
Unashindwa jikita kwenye Jambo lililomezani unaanza uliza maswali mepesi yasiyo na tija ,hoja hapa why kodi hailipwi kwenye namber ya mlipakodi ya mfanyakazi bila kujali umeajiri,umeajiriwa na serikali au sector binafsi ,jikite hapa Kama una majibu sio uliza maswali mepesi
 
Unashindwa jikita kwenye Jambo lililomezani unaanza uliza maswali mepesi yasiyo na tija ,hoja hapa why kodi hailipwi kwenye namber ya mlipakodi ya mfanyakazi bila kujali umeajiri,umeajiriwa na serikali au sector binafsi ,jikite hapa Kama una majibu sio uliza maswali mepesi
Wewe takataka ni mpumbavu, jinga halafu ni mbishi.

Hakuna mfanyakazi aliyeajiriwa ( either sekta binafsi au serikalini ) asiye na TIN Number sasa hivi.

Hii thread ni ya 2015. Asshole
 
Wewe takataka ni mpumbavu, jinga halafu ni mbishi.

Hakuna mfanyakazi aliyeajiriwa ( either sekta binafsi au serikalini ) asute na TIN Number sasa hivi.

Hii thread ni ya 2015. Asshole
Bahati mbaya Sana mie sio mtu wa matusi na sio wewe ni laana inayokutafuna, that's ulivyo ndivyo ilivyo sio hapa jf ni katika maisha yako ya kila siku tu , so mada 2015 ikijadiliwa ina shida gani so far inalogic, omba Sana baki na laana hiyo usilazimishe ongezewa nyingine,kwenda uko bwana,alafu wajifanya wajua kwamba kila mfanyakazi ana tin ,anaweza kua na tin ndio so ndo inatumika kulipia kodi ya Makato ya mshahara, ?? Logic huna bali umebarikiwa kurupuka na matusi laana ikuua nakwambia
 
Bahati mbaya Sana mie sio mtu wa matusi na sio wewe ni laana inayokutafuta, that's ulivyo ndivyo ilivyo sio hapa jf ni katika maisha yako ya kila siku tu , so mada 2015 ikijadiliwa ina shida gani so far inalogic, omba Sana baki na laana hiyo usilazimishe ongezewa nyingine,kwenda uko bwana
Huna akili. Takataka
 
Humu JF kuna watu Wana akili Sana kama mwanzisha mada, mwaka 2015 alihoji 2020 ikatekelezwa.
 
Huna akili. Takataka
Kukosa akili,kua takataka yana weza kua ni mapenzi ya mungu , ila lahana yaweza kutokana na familia yako,ukoo wako, wewe mwenyewe, na huwa haikomi ,bali kuendelea kutafuna kizazi mpaka kizazi cheki inavyokusumbua na Bado ngo tuibust kwanza ,
 
Back
Top Bottom