The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,325
- 4,138
Kwa mara nyingine tena, tunarudi kwenye jukwaa letu pendwa la MMU, Mbarikiwe nyote mnaofanya hii platform ichangamke kwa experiences mnazojumuika nasi humu, tunajifunza na kuyaepuka makosa yaliokwisha fanywa. Wadada Wadada Wadada !!!! ubavu wetu nyie kwanini mko bivi.
Nimekuwa mpenzi wa kusoma riwaya, vitabu mbalimbali viwe ni vya mahusiano kama kina Joseph Shaluwa, E Shigongo na baadhi ha vitabu vya kiingereza nk, pia ni mfatiliaji WA mambo mbalimbali ya kisayansi, teknolojia, Historia za nchi mbalimbali pamoja na viongozi.
kutokana na tabia ya kupenda kusoma vitabu imenifanya niwe na uelewa mpana wa mambo na kuweza kuchangia mazungumzo mbalimbali ma mijadala mbalimbali pale inaponibidi. Hali hiyo imenifanya niwe na marafiki wengi wa kike ambao mara nyingi tumekuwa tukipeana ideas mbalimbali za kimaisha pamoja na kuwasimulia baadhi ya hadithi na experiences nazokutana nazo kwenye hivyo vitabu lakini piaa ninazokumbana nazo humu JF.
Shida kubwa nayokutana nayo ni kuwa mara nyingi katika midahalo hiyo Wanawake wamekuwa ni wapokeaji tu kutoka kwangu, kwa lugha nyepesi natafutwa halafu naambiwa nisimulie story zako. Swali langu, ni kwanini wanawake mko passive sana kwenye mazungumzo sio wote lakini asilimia kubwa, mdada anaweza kukutafuta halafu anataka we ndo uendelee kumchatisha.
Nimeona mahusiano mengi ya mkaka na mdada yapo exploitative in nature, wadada wako kimaslahi zaidi. Kuna jamaa yangu hapa ni kipanga darasani basi kila siku tunashinda tunadeki ruum na kufua mashuka ili wao wakija kudiscuss wasituone wachafu na hakuna siku wameomba hata watusaidie kudeki wala kufagia ruum. Mdada ataumizwa huko na bf wake atakuja kwako umliwaze na umpe attention sawa na anayopaswa kupewa gf wako na akishapatana na bf wake anakusahau tena
Kwenye magrup ya darasan, hamchangii mada hata zinazowahusu nyie, huwa nashindwa elewa shida kubwa ni nini kwamba hamna lolote mnaloweza kulifanya pasipo mwanamme ku initiate. Kwenye ndoa the same, mwanamme asipoomba show ndo basi ntolee hiyo. Ukikutana na mdada mnajuana, usipomshobokea kumsalimia ndiyo mnapishana kama hamjuani kabisa.
Na kwanini mtegemee wanamme katika chattings zenu hali ya kuwa wewe ndo ume initiate convo lakini ushindwe kuelezea. Yaani mambo , ukijibu powaa vipi , unajibiwa saf
#Wadada badirikeni, kama unapenda kupewa story nawe uwe na cha kuchangia next days ili tuzidi faaana na kupeana experiences mbalimbali.
Naomba hii post, itolewe nakala ngumu na kuwekwa kila ofisi ya umma.
Nimekuwa mpenzi wa kusoma riwaya, vitabu mbalimbali viwe ni vya mahusiano kama kina Joseph Shaluwa, E Shigongo na baadhi ha vitabu vya kiingereza nk, pia ni mfatiliaji WA mambo mbalimbali ya kisayansi, teknolojia, Historia za nchi mbalimbali pamoja na viongozi.
kutokana na tabia ya kupenda kusoma vitabu imenifanya niwe na uelewa mpana wa mambo na kuweza kuchangia mazungumzo mbalimbali ma mijadala mbalimbali pale inaponibidi. Hali hiyo imenifanya niwe na marafiki wengi wa kike ambao mara nyingi tumekuwa tukipeana ideas mbalimbali za kimaisha pamoja na kuwasimulia baadhi ya hadithi na experiences nazokutana nazo kwenye hivyo vitabu lakini piaa ninazokumbana nazo humu JF.
Shida kubwa nayokutana nayo ni kuwa mara nyingi katika midahalo hiyo Wanawake wamekuwa ni wapokeaji tu kutoka kwangu, kwa lugha nyepesi natafutwa halafu naambiwa nisimulie story zako. Swali langu, ni kwanini wanawake mko passive sana kwenye mazungumzo sio wote lakini asilimia kubwa, mdada anaweza kukutafuta halafu anataka we ndo uendelee kumchatisha.
Nimeona mahusiano mengi ya mkaka na mdada yapo exploitative in nature, wadada wako kimaslahi zaidi. Kuna jamaa yangu hapa ni kipanga darasani basi kila siku tunashinda tunadeki ruum na kufua mashuka ili wao wakija kudiscuss wasituone wachafu na hakuna siku wameomba hata watusaidie kudeki wala kufagia ruum. Mdada ataumizwa huko na bf wake atakuja kwako umliwaze na umpe attention sawa na anayopaswa kupewa gf wako na akishapatana na bf wake anakusahau tena
Kwenye magrup ya darasan, hamchangii mada hata zinazowahusu nyie, huwa nashindwa elewa shida kubwa ni nini kwamba hamna lolote mnaloweza kulifanya pasipo mwanamme ku initiate. Kwenye ndoa the same, mwanamme asipoomba show ndo basi ntolee hiyo. Ukikutana na mdada mnajuana, usipomshobokea kumsalimia ndiyo mnapishana kama hamjuani kabisa.
Na kwanini mtegemee wanamme katika chattings zenu hali ya kuwa wewe ndo ume initiate convo lakini ushindwe kuelezea. Yaani mambo , ukijibu powaa vipi , unajibiwa saf
#Wadada badirikeni, kama unapenda kupewa story nawe uwe na cha kuchangia next days ili tuzidi faaana na kupeana experiences mbalimbali.
Naomba hii post, itolewe nakala ngumu na kuwekwa kila ofisi ya umma.