Mtu Fodontino
JF-Expert Member
- May 9, 2021
- 350
- 546
Hata mimi hali ya mdada kunitafuta na mimi kumchatisha sana inanikuta lakin kuanzia juz kat hapo nimebadilika
Nimetoka kuachwa juzi tu hapa kisa naonekana sijali,kuwa simpendi nikasema sawa.hujawai ambiwa ,Fulani mbona umenisusa lakini sio kuwa kweli umemsusa ila unakuta we ndo actor mkuu wa convo yenu so unaona bora nisimtaute kuliko umtafute mtu asioneshe response nzuri.
hawaanzi kusema mbona umemsusaaHata mimi hali ya mdada kunitafuta na mimi kumchatisha sana inanikuta lakin kuanzia juz kat hapo nimebadilika
mwenyewe nimeachwa tangu tarehe 2 mwezi wa 5 , kisa ni yeye hataki kuanzisha convo ,ye zake ni ku comment emoji kwenye status halafu anataka ndo uanze kumchatisha namie akikomenti vi emoji na komenti emoji piaa hadi sasa tunakamlisha mwezi mmoja hatujachatiNimetoka kuachwa juzi tu hapa kisa naonekana sijali,kuwa simpendi nikasema sawa.
Asante sana, kuna walee wanacomment "wooh" au mhh status hata isiyohitaji comment ya mtindo huo ,huwa nawaangalia kinoma nasubir nichafukwe sikuMdada anakutext
Mdada:"mambo"
Mimi: poa vipi?
Mdada:"fresh"
Mimi: siku yako imekwendaje?
Mdada: "safi"
Hizi ndio tabia zao,next time akikutext "mambo" we mjibu "poa".atajiongeza
yaani kama kwa mkapa vilee akiingia hachomoki, sema wageni wengine sio wangu kwahiyo siwezi wafanyia umafia napia mie Nina ka ustaarabu Fulani hivi kwa mbaliMkuu wewe na wenzio mme aibisha kiumen yani watoto wanajaa gheto mnashidwa kuwafanyia umafia aisee mimi binafsi hiyo hali inanikuta lakini ila sijawai kuruhusu demu aingie gheto langu et sijui tupige stori .maana nishajiwekea sheria demu yoyote asiye ndugu yangu akiingia gheto lazima aelewa sio kwa shosti yake pale
on progress ....Kama ni hivo basi jitathmini
Hujambo?Yeah
summary sina, soma comments utaelewaKama una summary nitag nirudi kusoma