Havi kwanini wachezaji wengi wakike hasa hasa wanao cheza uku Afrika wanapendaga saana kuwa na mionekano ya wanaume
Yaani ata akiwa nje ya uwanja mara nyingi kuvaa kwao na mambo yao mengine yanakuwa kama ya wanaume tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.