Kwanini wabunge wanasema " BUNGE TUKUFU"?.

COARTEM

JF-Expert Member
Nov 26, 2013
3,599
3,647
Hivi mule ndani Bungeni kuna utukufu gani unaosemwa au kutajwa tajwa na wabunge?.
Mwenye majibu tafadhari anisaidie.
 
Hivi mule ndani Bungeni kuna utukufu gani unaosemwa au kutajwa tajwa na wabunge?.
Mwenye majibu tafadhari anisaidie.

Mkuu wanasema hivyo kwa mazoea tu. Ni kama vile unavyoona wanasali asubuhi lakini baada ya hapo wanafungulia matusi, vijembe na kejeli huku wakipitisha mikataba mibovu, lakini kwenye sala wanamuomba Mungu awaongoze kufanya maamuzi yenye maslahi kwa taifa.
 
Mkuu wanasema hivyo kwa mazoea tu. Ni kama vile unavyoona wanasali asubuhi lakini baada ya hapo wanafungulia matusi, vijembe na kejeli huku wakipitisha mikataba mibovu, lakini kwenye sala wanamuomba Mungu awaongoze kufanya maamuzi yenye maslahi kwa taifa.
Kazi ipo
 
Wanaitatu kwa mazoea sawa na hapa jf tunavyoitana mkuu maana hata baba yako anaweza kukuita mkuu

Bunge chini ya Ndugai na Mkuchika haliwezi kuwa tukufu
 
Bado,hakuna aliyejibu kwanini" Bunge tukufu" na tukienda mbali zaidi kwenye mahakama zetu kuna lugha "mtukufu hakimu",pia "mtukufu rais".tafadhali anayejua atujuze
 
Bado,hakuna aliyejibu kwanini" Bunge tukufu" na tukienda mbali zaidi kwenye mahakama zetu kuna lugha "mtukufu hakimu",pia "mtukufu rais".tafadhali anayejua atujuze
Kiuhalisia mtu anayetakiwa kutoa HAKI anatakiwa awe AMATUKUKA (MTUKUFU)lakini hapa kwetu watoa haki wapo kwa maslahi ya vyama na matumbo yao jambo linalowakosesha Utukufu
 
Back
Top Bottom