ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
Waku habari zenu,
Nimesikia kwenye kipindi cha Tuöngee Asubuhi, kwenye jicho letu ndani ya habari, mtangazaji kasema kuwa baadhi ya wabunge wamewatisha wahusika waliolifungia gazeti la mwanahalisi kutolifungulia, vinginevyo watadili nao wakingilifungulia watawatambua! Je tatizo ni nini? Je wabunge hao wanafaa kuendelea kuwawakilisha watanzania?
Naomba tutoe maoni yetu juu ya hili.
Nimesikia kwenye kipindi cha Tuöngee Asubuhi, kwenye jicho letu ndani ya habari, mtangazaji kasema kuwa baadhi ya wabunge wamewatisha wahusika waliolifungia gazeti la mwanahalisi kutolifungulia, vinginevyo watadili nao wakingilifungulia watawatambua! Je tatizo ni nini? Je wabunge hao wanafaa kuendelea kuwawakilisha watanzania?
Naomba tutoe maoni yetu juu ya hili.