mkaamweusi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2013
- 614
- 802
Nimetembelea maeneo mengi ya public mfano mabenki,vyoo vya kulipia,ofisi kubwa za serikali,vyuoni utawala,Mara nyingi kila nikiingia najikuta alama ya suruali IPO mkono wa kushoto na alama ya Gauni au sketi popote pale lazima niende kushoto, kwanini? Je kuna maswala ya imani,au nisheria lazima ifuatwe? Cc Mshana junior! Naomba nijuzwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app