Foul
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 798
- 1,175
Nimekuambia kama wananchi hawampend Mbowe leteni tume huru ya uchaguzi, mbona kazi nyepesi tu, tunashindana hapa wakat kuna njia rahisi ya ku prove wrong mimi au wewe?
Mbowe hapendwi anapendwa maguful, leten hyo tume huru na mtoe uhuru wa kujieleza bila kutumia policcm, neccm na wakurugenccm tuone uhalisia
Mbowe hapendwi anapendwa maguful, leten hyo tume huru na mtoe uhuru wa kujieleza bila kutumia policcm, neccm na wakurugenccm tuone uhalisia
Nani akuletee tume Huru Mezani.
Shindaneni kwa hoja sio kupinga pinga tu na kukejeli kila kitu bila kusoma hisia za wananchi.
Wananchi wengi wanamkubali sana Magufuli lakini hawaipendi CCM.
Na wananchi wengi wanaipenda Chadema lakini wamemchoka Mbowe na udikteta wake wa kung'ang'ania Uenyekiti bila ukomo.
Na Mbowe hataka kuonekana kuwa amechokwa na haungwi mkono matokeo yake anatumia muda mwingi kumshambulia Rais jambo linaloifanya CCM kupumua na Chadema kufa kwa sababu watanzania wengi wanaonyesha kukerwa na kejeli ya Mbowe na wapambe wake dhidi ya Rais.
Kama Mbowe atapita kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema ndio nitajua kweli kuwa Mbowe anakubalika ndani ya Chadema na hata nje ya Chadema.
Na nitamuunga mkono kwa asilimia mia moja.