Kwanini viwanda vinakuwa na bei tofauti za bati?

JMK ROYAL SERVICES

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
226
83
Somo jingine kwa nini bei ya mabati inatofautiana kiwanda kimoja na kingine.

1.material
Ni kawaida kuwa kama unanunua material kwa bei ya juuu itapelekea uzalishaji kuwa juu na bidhaa ya mwisho kuwa juu baada ya kuset price,ingawa pia material ya kiwango cha juu hupelekea bidhaa ya ubora kuuzwa juuu ingawa,watu wa uchumi c wote tunaamini kuwa bei inabashili uimara wa bidhaaa.
7724c158dbb9c12c6137f9aa9ac16f99.jpg


2.Gauge/thikness
Kwa mtu yoyote anayelijua bati au alishawai nunua atangundua bei za bati zinapisha kwa gauge(unene wa coil),24gauge huwa na bei ya juu,kuliko 28gauge,28g huwa bei kubwa kuliko 30,30g nikubwa kuliko 32g,hili naliamini sana mm kweny utofauti wa bei
bba7d57c9984b10c0774ea540a060fb8.jpg


3.Upana wa bati
Bei nyingi za viwanda hutofautiana kulingana na upana wa bati,bati la upana wa 110cm,litatofautiana na la upana wa90,87,82,78cm kwa kuwa upana ukiwa mkubwa material yanaenda mengi na kinyume chake ni sahihi
4d16c838f05ee1f4d8abb18ffb9e6ab8.jpg


4.Aina ya bati
Hii inatokana na kila aina ya bati kuwa na machine yake,na operation cost na mda wa kuzalisha hizo bati zinayofautiana kulingana na mikunjo ya bati,bati la silver cortugated(migongo midogo)huwa ndo bei rahisi kila kiwanda,yatafuata ya corrugated colorfull(migongo midgo ya rangi) yatafuata it4,it5 msouth(migongo mipana) ,yatafuata ya mikunjo(versatile,romatile,nk) na ya mwisho kwa bei kubwa kila kiwanda ni stone natural coated hizi ni bati zimewekewa chembe chembe za miamba kwa juu
3390ca7acf35d3fcf34b4b74742813cf.jpg


Kwa zingine au ufafanuzi zaidi piga
0656-816616

JMK ROYAL SERVICES
agent wa mabati ya sunshare(agent no A-002)VIP,quansheing l,bati za uturuki,twyford tiles
Wanakuuzia bati kwa price list ya kiwandani.karibuni
(Discount ipo)

Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana) -upana wa 107cm na 98cm
gauge 26ni 16,284/meter,
gauge28 ni 12,500/meter na
gauge30 ni 11,120/=

-upana wa 87cm
gaug26 ni 12,114/meter,
gauge28 ni 9500/meter
Na gauge30 ni 8500/ meter

It4 upana wa 81cm 28gauge ni 8,768/=meter 30gauge7,655=/meter

Mabati ya mikunjo(Versatile) ,(roma)upana wa 110cm gauge26ni 17,626/=meter,
gauge 28 ni 13,500/=meter na gauge30 ni 11,710/= meter

Mabati migongo midogo(corrugated)upana wa 90cm ya rangi gauge 26 ni 12,114,
gauge28 ni 9500/meter
na gauge30 ni 8500/meter

Mabati yenye chenga za miamba(natural stone coated) ni 21,000/ piece
-Misumali ya bati kila rangi tzs 10,000/kg inakaa mia moja
-Kofia na valley
28gauge 13,200/= za urefu wa 3meter
30gauge 12,000/= urefu wa 3meter

-Gauge 26, 28 na 30
-upana 110cm 107cm,98cm ,87cm
-Material aluzinc
-Rangi,green,brick red,charcoal gray,b-white,blue,sea blue,tile red, etc
-Urefu utakao ww kuanzia meter moja mpaka 12meter kwa bati moja.
-Warranty 15 years kwa it5,it4 na versatile na 60 years kwa naturalstone coated
-Yamethibitishwa na tbs
-Utapata mzigo ndani ya masaa 24 baada ya kulipia,
-Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama na usumbufu
Tupo mikocheni pembeni na mayfair plaza
0656816616,0713637508
,0766004940,0753637508
 
Asante kwa ufafanuzi mkuu Ila sija kuelewa sehemu kama hizi:
Mfano umeandika:
Gauge 26 ni 16, 284/meter, ebu jaribu kufafanua kwa maneno mkuu
 
Asante kwa ufafanuzi mkuu
Somo jingine kwa nini bei ya mabati inatofautiana kiwanda kimoja na kingine.

1.material
Ni kawaida kuwa kama unanunua material kwa bei ya juuu itapelekea uzalishaji kuwa juu na bidhaa ya mwisho kuwa juu baada ya kuset price,ingawa pia material ya kiwango cha juu hupelekea bidhaa ya ubora kuuzwa juuu ingawa,watu wa uchumi c wote tunaamini kuwa bei inabashili uimara wa bidhaaa.
7724c158dbb9c12c6137f9aa9ac16f99.jpg


2.Gauge/thikness
Kwa mtu yoyote anayelijua bati au alishawai nunua atangundua bei za bati zinapisha kwa gauge(unene wa coil),24gauge huwa na bei ya juu,kuliko 28gauge,28g huwa bei kubwa kuliko 30,30g nikubwa kuliko 32g,hili naliamini sana mm kweny utofauti wa bei
bba7d57c9984b10c0774ea540a060fb8.jpg


3.Upana wa bati
Bei nyingi za viwanda hutofautiana kulingana na upana wa bati,bati la upana wa 110cm,litatofautiana na la upana wa90,87,82,78cm kwa kuwa upana ukiwa mkubwa material yanaenda mengi na kinyume chake ni sahihi
4d16c838f05ee1f4d8abb18ffb9e6ab8.jpg


4.Aina ya bati
Hii inatokana na kila aina ya bati kuwa na machine yake,na operation cost na mda wa kuzalisha hizo bati zinayofautiana kulingana na mikunjo ya bati,bati la silver cortugated(migongo midogo)huwa ndo bei rahisi kila kiwanda,yatafuata ya corrugated colorfull(migongo midgo ya rangi) yatafuata it4,it5 msouth(migongo mipana) ,yatafuata ya mikunjo(versatile,romatile,nk) na ya mwisho kwa bei kubwa kila kiwanda ni stone natural coated hizi ni bati zimewekewa chembe chembe za miamba kwa juu
3390ca7acf35d3fcf34b4b74742813cf.jpg


Kwa zingine au ufafanuzi zaidi piga
0656-816616

JMK ROYAL SERVICES
agent wa mabati ya sunshare(agent no A-002)VIP,quansheing l,bati za uturuki,twyford tiles
Wanakuuzia bati kwa price list ya kiwandani.karibuni
(Discount ipo)

Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana) -upana wa 107cm na 98cm
gauge 26ni 16,284/meter,
gauge28 ni 12,500/meter na
gauge30 ni 11,120/=

-upana wa 87cm
gaug26 ni 12,114/meter,
gauge28 ni 9500/meter
Na gauge30 ni 8500/ meter

It4 upana wa 81cm 28gauge ni 8,768/=meter 30gauge7,655=/meter

Mabati ya mikunjo(Versatile) ,(roma)upana wa 110cm gauge26ni 17,626/=meter,
gauge 28 ni 13,500/=meter na gauge30 ni 11,710/= meter

Mabati migongo midogo(corrugated)upana wa 90cm ya rangi gauge 26 ni 12,114,
gauge28 ni 9500/meter
na gauge30 ni 8500/meter

Mabati yenye chenga za miamba(natural stone coated) ni 21,000/ piece
-Misumali ya bati kila rangi tzs 10,000/kg inakaa mia moja
-Kofia na valley
28gauge 13,200/= za urefu wa 3meter
30gauge 12,000/= urefu wa 3meter

-Gauge 26, 28 na 30
-upana 110cm 107cm,98cm ,87cm
-Material aluzinc
-Rangi,green,brick red,charcoal gray,b-white,blue,sea blue,tile red, etc
-Urefu utakao ww kuanzia meter moja mpaka 12meter kwa bati moja.
-Warranty 15 years kwa it5,it4 na versatile na 60 years kwa naturalstone coated
-Yamethibitishwa na tbs
-Utapata mzigo ndani ya masaa 24 baada ya kulipia,
-Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama na usumbufu
Tupo mikocheni pembeni na mayfair plaza
0656816616,0713637508
,0766004940,0753637508
 
Somo jingine kwa nini bei ya mabati inatofautiana kiwanda kimoja na kingine.

1.material
Ni kawaida kuwa kama unanunua material kwa bei ya juuu itapelekea uzalishaji kuwa juu na bidhaa ya mwisho kuwa juu baada ya kuset price,ingawa pia material ya kiwango cha juu hupelekea bidhaa ya ubora kuuzwa juuu ingawa,watu wa uchumi c wote tunaamini kuwa bei inabashili uimara wa bidhaaa.
7724c158dbb9c12c6137f9aa9ac16f99.jpg


2.Gauge/thikness
Kwa mtu yoyote anayelijua bati au alishawai nunua atangundua bei za bati zinapisha kwa gauge(unene wa coil),24gauge huwa na bei ya juu,kuliko 28gauge,28g huwa bei kubwa kuliko 30,30g nikubwa kuliko 32g,hili naliamini sana mm kweny utofauti wa bei
bba7d57c9984b10c0774ea540a060fb8.jpg


3.Upana wa bati
Bei nyingi za viwanda hutofautiana kulingana na upana wa bati,bati la upana wa 110cm,litatofautiana na la upana wa90,87,82,78cm kwa kuwa upana ukiwa mkubwa material yanaenda mengi na kinyume chake ni sahihi
4d16c838f05ee1f4d8abb18ffb9e6ab8.jpg


4.Aina ya bati
Hii inatokana na kila aina ya bati kuwa na machine yake,na operation cost na mda wa kuzalisha hizo bati zinayofautiana kulingana na mikunjo ya bati,bati la silver cortugated(migongo midogo)huwa ndo bei rahisi kila kiwanda,yatafuata ya corrugated colorfull(migongo midgo ya rangi) yatafuata it4,it5 msouth(migongo mipana) ,yatafuata ya mikunjo(versatile,romatile,nk) na ya mwisho kwa bei kubwa kila kiwanda ni stone natural coated hizi ni bati zimewekewa chembe chembe za miamba kwa juu
3390ca7acf35d3fcf34b4b74742813cf.jpg


Kwa zingine au ufafanuzi zaidi piga
0656-816616

JMK ROYAL SERVICES
agent wa mabati ya sunshare(agent no A-002)VIP,quansheing l,bati za uturuki,twyford tiles
Wanakuuzia bati kwa price list ya kiwandani.karibuni
(Discount ipo)

Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana) -upana wa 107cm na 98cm
gauge 26ni 16,284/meter,
gauge28 ni 12,500/meter na
gauge30 ni 11,120/=

-upana wa 87cm
gaug26 ni 12,114/meter,
gauge28 ni 9500/meter
Na gauge30 ni 8500/ meter

It4 upana wa 81cm 28gauge ni 8,768/=meter 30gauge7,655=/meter

Mabati ya mikunjo(Versatile) ,(roma)upana wa 110cm gauge26ni 17,626/=meter,
gauge 28 ni 13,500/=meter na gauge30 ni 11,710/= meter

Mabati migongo midogo(corrugated)upana wa 90cm ya rangi gauge 26 ni 12,114,
gauge28 ni 9500/meter
na gauge30 ni 8500/meter

Mabati yenye chenga za miamba(natural stone coated) ni 21,000/ piece
-Misumali ya bati kila rangi tzs 10,000/kg inakaa mia moja
-Kofia na valley
28gauge 13,200/= za urefu wa 3meter
30gauge 12,000/= urefu wa 3meter

-Gauge 26, 28 na 30
-upana 110cm 107cm,98cm ,87cm
-Material aluzinc
-Rangi,green,brick red,charcoal gray,b-white,blue,sea blue,tile red, etc
-Urefu utakao ww kuanzia meter moja mpaka 12meter kwa bati moja.
-Warranty 15 years kwa it5,it4 na versatile na 60 years kwa naturalstone coated
-Yamethibitishwa na tbs
-Utapata mzigo ndani ya masaa 24 baada ya kulipia,
-Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama na usumbufu
Tupo mikocheni pembeni na mayfair plaza
0656816616,0713637508
,0766004940,0753637508
Unaweza kuweka picha ya hayo mabati yenye chembe za miamba mkuu.
JMK ROYAL SERVICES
 
Somo jingine kwa nini bei ya mabati inatofautiana kiwanda kimoja na kingine.

1.material
Ni kawaida kuwa kama unanunua material kwa bei ya juuu itapelekea uzalishaji kuwa juu na bidhaa ya mwisho kuwa juu baada ya kuset price,ingawa pia material ya kiwango cha juu hupelekea bidhaa ya ubora kuuzwa juuu ingawa,watu wa uchumi c wote tunaamini kuwa bei inabashili uimara wa bidhaaa.
7724c158dbb9c12c6137f9aa9ac16f99.jpg


2.Gauge/thikness
Kwa mtu yoyote anayelijua bati au alishawai nunua atangundua bei za bati zinapisha kwa gauge(unene wa coil),24gauge huwa na bei ya juu,kuliko 28gauge,28g huwa bei kubwa kuliko 30,30g nikubwa kuliko 32g,hili naliamini sana mm kweny utofauti wa bei
bba7d57c9984b10c0774ea540a060fb8.jpg


3.Upana wa bati
Bei nyingi za viwanda hutofautiana kulingana na upana wa bati,bati la upana wa 110cm,litatofautiana na la upana wa90,87,82,78cm kwa kuwa upana ukiwa mkubwa material yanaenda mengi na kinyume chake ni sahihi
4d16c838f05ee1f4d8abb18ffb9e6ab8.jpg


4.Aina ya bati
Hii inatokana na kila aina ya bati kuwa na machine yake,na operation cost na mda wa kuzalisha hizo bati zinayofautiana kulingana na mikunjo ya bati,bati la silver cortugated(migongo midogo)huwa ndo bei rahisi kila kiwanda,yatafuata ya corrugated colorfull(migongo midgo ya rangi) yatafuata it4,it5 msouth(migongo mipana) ,yatafuata ya mikunjo(versatile,romatile,nk) na ya mwisho kwa bei kubwa kila kiwanda ni stone natural coated hizi ni bati zimewekewa chembe chembe za miamba kwa juu
3390ca7acf35d3fcf34b4b74742813cf.jpg


Kwa zingine au ufafanuzi zaidi piga
0656-816616

JMK ROYAL SERVICES
agent wa mabati ya sunshare(agent no A-002)VIP,quansheing l,bati za uturuki,twyford tiles
Wanakuuzia bati kwa price list ya kiwandani.karibuni
(Discount ipo)

Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana) -upana wa 107cm na 98cm
gauge 26ni 16,284/meter,
gauge28 ni 12,500/meter na
gauge30 ni 11,120/=

-upana wa 87cm
gaug26 ni 12,114/meter,
gauge28 ni 9500/meter
Na gauge30 ni 8500/ meter

It4 upana wa 81cm 28gauge ni 8,768/=meter 30gauge7,655=/meter

Mabati ya mikunjo(Versatile) ,(roma)upana wa 110cm gauge26ni 17,626/=meter,
gauge 28 ni 13,500/=meter na gauge30 ni 11,710/= meter

Mabati migongo midogo(corrugated)upana wa 90cm ya rangi gauge 26 ni 12,114,
gauge28 ni 9500/meter
na gauge30 ni 8500/meter

Mabati yenye chenga za miamba(natural stone coated) ni 21,000/ piece
-Misumali ya bati kila rangi tzs 10,000/kg inakaa mia moja
-Kofia na valley
28gauge 13,200/= za urefu wa 3meter
30gauge 12,000/= urefu wa 3meter

-Gauge 26, 28 na 30
-upana 110cm 107cm,98cm ,87cm
-Material aluzinc
-Rangi,green,brick red,charcoal gray,b-white,blue,sea blue,tile red, etc
-Urefu utakao ww kuanzia meter moja mpaka 12meter kwa bati moja.
-Warranty 15 years kwa it5,it4 na versatile na 60 years kwa naturalstone coated
-Yamethibitishwa na tbs
-Utapata mzigo ndani ya masaa 24 baada ya kulipia,
-Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama na usumbufu
Tupo mikocheni pembeni na mayfair plaza
0656816616,0713637508
,0766004940,0753637508
Vp mnahudumia na watu wa mikoani?
 
Back
Top Bottom