akatanyukuile
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 314
- 308
Wanaonekana kuwa na upeo mkubwa kwa sababu unawapenda.Nimekua nikifuatilia sana hotuba mbalimbali za viongozi katika kada zote, pia nimekua nikifuatilia bunge nimekua nikipata kigugumizi hasa nilipokua nikiona wabunge wa ccm licha ya wingi wao ila hawana mchango wowote hata kidogo. Nenda uone akina Heche, akina Bulaya,akina Lema, na wengine wa upinzani ndo wabunge pekee wanao pigania uhai wa wanach na kuonekana wana uchungu zaid kuzid wenzio. BALAA la mwaka ni hotuba aliyoitoa mh Free man mbowe mda mfup uliopita hakika ilijaa mwanga na dira pia amezid hata rais wanch kabisa mm nilijisahau nikadhan ni rais wa nch,sasa nini kilichopo hapo, je selikali inayoongoza raia ni gege flan la wa.... linalotetea masilai binafs au nini hasa kilichopo baina ya watu hawa!!!! Ndo hayo karibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi zilizoendelea hubadilisha chama tawala kila miaka 4-8 sisi miaka 60 sasa ni chama kile kile ndio maana viongozi wa chama tawala wanajisahau na kuwa wazembe. Janga likitokea wanasepa na kwenda kujificha badala ya kuwa mstari wa mbele.Nimekuwa nikifuatilia sana hotuba mbalimbali za viongozi katika kada zote, pia nimekuwa nikifuatilia Bunge nimekuwa nikipata kigugumizi hasa nilipokuwa nikiona wabunge wa CCM licha ya wingi wao ila hawana mchango wowote hata kidogo.
Nenda uone akina Heche, Bulaya, Lema na wengine wa upinzani ndio wabunge pekee wanaopigania uhai wa wananchi na kuonekana wana uchungu zaidi kuzidi wenzio. Balaa la mwaka ni hotuba aliyoitoa mh Freeman Mbowe muda mfupi uliopita hakika ilijaa mwanga na dira pia amezidi hata Rais kabisa, mimi nilijisahau nikadhani ni Rais wa nchi
Sasa nini kilichopo hapo, Je Selikali inayoongoza raia ni gege fulani linalotetea maslahi binafsi au nini hasa kilichopo baina ya watu hawa!
Ndo hayo karibu.
Mkuu umeshajifukiza?
Hiyo ni kila asubuhi na jioni mkuu.Mkuu umeshajifukiza?
Kumbeee!!Upinzani wasikivu wana Elimu Upeo Hekima na Busara
Mkuu umeuliza swali lililotukuka mno ! ngoja nifuturu kwanza nakujaNimekuwa nikifuatilia sana hotuba mbalimbali za viongozi katika kada zote, pia nimekuwa nikifuatilia Bunge nimekuwa nikipata kigugumizi hasa nilipokuwa nikiona wabunge wa CCM licha ya wingi wao ila hawana mchango wowote hata kidogo.
Nenda uone akina Heche, Bulaya, Lema na wengine wa upinzani ndio wabunge pekee wanaopigania uhai wa wananchi na kuonekana wana uchungu zaidi kuzidi wenzio. Balaa la mwaka ni hotuba aliyoitoa mh Freeman Mbowe muda mfupi uliopita hakika ilijaa mwanga na dira pia amezidi hata Rais kabisa, mimi nilijisahau nikadhani ni Rais wa nchi
Sasa nini kilichopo hapo, Je Selikali inayoongoza raia ni gege fulani linalotetea maslahi binafsi au nini hasa kilichopo baina ya watu hawa!
Ndo hayo karibu.
Kumbeee!!
Kwani mwenyekiti wa CCM na mwenyekiti wa CDM nani ana elimu elimu kubwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nikifuatilia sana hotuba mbalimbali za viongozi katika kada zote, pia nimekuwa nikifuatilia Bunge nimekuwa nikipata kigugumizi hasa nilipokuwa nikiona wabunge wa CCM licha ya wingi wao ila hawana mchango wowote hata kidogo.
Nenda uone akina Heche, Bulaya, Lema na wengine wa upinzani ndio wabunge pekee wanaopigania uhai wa wananchi na kuonekana wana uchungu zaidi kuzidi wenzio. Balaa la mwaka ni hotuba aliyoitoa mh Freeman Mbowe muda mfupi uliopita hakika ilijaa mwanga na dira pia amezidi hata Rais kabisa, mimi nilijisahau nikadhani ni Rais wa nchi
Sasa nini kilichopo hapo, Je Selikali inayoongoza raia ni gege fulani linalotetea maslahi binafsi au nini hasa kilichopo baina ya watu hawa!
Ndo hayo karibu.
Wabunge wa ccm wanafanya nini bungeni tofauti na wa upinzani? Wote so ni kuishauri serikali? Sasa kutoa ushauri wenye tija pia imekuwa kikwazo?Kinachosababisha nikua Always theory ni rahisi kuliko practical. Kuongea hua ni rahisi sana ila vitendo ni kitu kingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu na uwezo wa kufikiria ni vitu viwili tofauti.Kumbeee!!
Kwani mwenyekiti wa CCM na mwenyekiti wa CDM nani ana elimu elimu kubwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi saddam wa kuwait angeweza kweli kumtoa Nduli Idd Amini Dada? Maana corona tu katuachia manyoyaChama Cha Mazezeta