Kwanini Vatican haitambuliki na UN?

Vatican siyo nchi, ni mji ndani ya nchi ya Italy ambao ni makao makuu ya Kanisa Katoliki.
 
Mm nashangaa ukiristo umeanzia israil huko middle east alafu makao makuu ya ukatoriki uko itali ndo napata mashaka makubwa na wazungu na ukiristo....
Ukatoliki ni sehemu tu ya Ukristo, ni dhehebu moja hilo ila madhehebu mengine yana makao makuu yao sehemu tofauti tofauti duniani.
 
Vatican ni nchi kama zilivyo nchi nchingine.Ina sifa zote za kuwa nchi(Westphalia Treat).
 
Kwa hiyo katiba ya Zanzibar inavunja katiba ya JMT ?

JokaKuu Kalamu
Mkuu 'Proved', kwa hili ingefaa umwite Nguruvi3.

Maoni yangu juu ya huu Muungano, naona kama Zanzibar inaelekea kuitawala Tanganyika. Sielewi hatma yake itakuwaje.

Muungano haukuundwa na malengo haya tunayoyaona hii leo.; ya nchi moja kubaki na utambulisho wake na kufanya mambo yake, huku ikifaidi faida zote za muungano, wakati nchi nyingine ilipoteza kabisa utambulisho wake na watu wake hawana haki sawa na wale wa nchi nyingine.
 
Kwani zanzibar ni nchi?
 
Kwani zanzibar ni nchi?
Yes Zanzibar ni nchi ndani ya nchi, kitaifa Tanzania japo ni nchi moja ya JMT, ndani ya JMT kuna nchi mbili, Tanzania bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar, tuna serikali mbili za SJMT na SMS, tuna marais wawili, mabunge mawili, na Mahakama mbili. Hivyo ndani ya muungano wetu ni muungano wa federation.

Nje ya muungano, Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye muungano wa union wenye rais mmoja, rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu, ina serikali moja ya JMT, Bunge moja, Mahakama moja.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…