Zinamfanya sana ukiwa na pesa mwanamke ukweli ni ngumu kumpata the one me nimechoka manake kila anayekuja hata kama anauwezo anaanza kuwaza kumiliki ulivyo navyo na hawafichi ukweli ni kwamba hata wanaume wanatamani sana wenye mali i wish i could fly somewhere sometimes niishi low nipate mtu atakayenipenda nikiwa low 'hitimisho nipo singel coz kila mwanaume anayekuja anaonyesha kutamani nilivyo na si mimi despite of my beauty
Mi mwenyewe nasubiria useme jamboHuu uzi utakuwa na fursa kibaooo..sibanduki
Wao sehemu gani hiyoNyumbani huko ndugu
Kuimba KwayaUkitongozwa ukakubali nini kinafata apo?
Una sh ngapi???Weka picha
Umeshapata fursa Ulikua unaitafutaHuu uzi utakuwa na fursa kibaooo..sibanduki
Nipo singo coz sina hela ya albamHii ni kwa wale walio single kama mimi, nadhani kila aliye single ana sababu zake za msingi zinazompelekea awe single. Kuna wanaopenda kuwa hivyo na wasiopenda.
Kwa kila aliye single aeleze sababu zinazompelekea yeye kuwa hivyo na yawezekana ukapata suluhisho hapa.
Tukianza na mimi
Nipo single sababu sijampata msichana sahihi anayenifaa
asee hilo jibu sahii kabisaaMimi nipo single kwasababu hatuko wawili!!!
🙂🙂🙂🙂🙂
mkuu kama vipi uzwa vyote (bakiza uzuri tu) afu uje kwangu
sijakuelewa rafikiNjoo kwangu nikuone mbuni yako usinishirikishe
katika ukoo wako wote hakuna alie hata robo yangu kwa uzuri pita kulee
Hahahha tatizo sifa unazooo? Napenda mwanaume kibonge alie na kitambi flan hv
Pesa kwa wale walizoea kutoa! Lakini kwako kama huna Pesa weka swaga!
Yupo m1 kamkimbia ndugu yangu eti kisa amejenga porini, vipi nikusogezee???NATAFUTA MWANAMKE WA KIBOSHO NIOE.
Nilikua single zamani
Nashukuru kwa ushauri natamani ningeandika zaidi lakini some people will easily spot me kwa nature ya kazi na biashara nifanyazo .laiti lingekuwa gari tu kwa sasa siishi kwenye nyumba yangu wala sijaipangisha japo nimepanga nina panda boda daladala etc na magari nilipark kwa hasira coz the last guy ambaye nilihisi we can match tulikuwa tukiongea kwa simu anaulizia hbr ya magari nikambwaga its a year now sijasogelea mwanaume nimeamua sometimes we have to leave the nature ichukue mkondo wakeUza gari...
tumia daladala na bajaj na taxi
nyumba pangisha
pesa zako invest kwa siri kwingine huku ukiishhi low hivi kwa mda hadi umpate unaemtaka