Huko ndo kutetea wananchi au sijaelewaHeche ametuma wananchi wake pale Nyamongo wakajitwalie mali za Accacia ambao Rais ametuambia ni majizi mkamkamata sasa mnataka tufanye nini!! >
Sent using Jamii Forums mobile app
Nan kashangilia au nyie chadema mmafurah sana nyumba zikibomolewaMnaitaka faraja hiyo wakati mnaishangilia serikali inayofanya hivyo?
Hoja ni kwanini wapinzani wana tetea mafisadi ni kwamba kabla aija watetea alikuwa pamoja na serikali na aliitaji kwamba wafanye mambo kisheria ila akaonekana hana maana,, na akasema kwa kufanya hivyo serikali itagharimika tuka danganywa tutalipwa kumbe ni tutawalipa kama alivo sema mka mpuuzaAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Lengo la upinzan ni kutetea masilahi ya wananchi wanyonge na kuisimamia selikali, cha kusikitisha upinzan wetu wao wanajali matumbo yao tu wakifukuzwa bungen huungana kwa pamoja kumushitak speker kwa masilah yao
Kwa sasa wananchi wako kwenye matatizo makubwa ya hapa na pale wao wapo kimiya nyumba na makaz ya watu yanabomolewa wao wamekaa tu, uhuru wa kujieleza haupo tena wao wamekaa kaz yao ni kutetea mafisad
Acacia waliposhikiliwa makinikia yao hawa wapinzan wetu walikuja juu sana had nikasema yes huu ndo upinzan sasa lakin kwa sasa nyumba zinabomolewa na hakuna fidia wamekaa kimiya hakuna hata mmoja anayepasa saut yake
Kwahiyo nyie wapinzan kaz yenu ni kutetea mafisad, wauza ngada na wakwepa kodi? Mbona huku kitaa hatuwaelewi
Nguvu yenu kama upinzan iko wapi kwanini haionekan?
Kwanini msisimame upande wetu wanyonge badala ya kusimama upande wa mafisad na wakwepa kod?
Hao wakwepa kod wanawalipa kias gan ili nas tujichange tuwe tunawalipa kias hicho muweze kusimama upande wetu wanyonge?
Wengine mtajadili mwandiko wangu mara hapa hujaweka koma, mara umeandika utumbo gan huu badala ya kujadili hoja
Balikiwen katika bwana
Cc mbitiyaza
LONDON BABY
Kumbe ulitaka watetee huku ukijua ni wabovu sana?! Huo ni msiba wa wote wacha watu wazisome tarakimu!!
Ndo umeandika nini hebu rudia kusoma ulichokiandikaWatawatetea mara ngapi walipowaambia kwa maneno, kwa vitendo, kwa maandamano mpaka wakatoka nje ya bunge lakini hamkusikia. Hata mwaka huu Lisu akazidi kuwakumbusha bado hamkusikia. Sasa hapo mnalaumu nini au mnatakà muonewe huruma wakati hamtaki kuwasikia. Nyie sio ndio mnawaona wapinzani sio Watanzania. Mmeshabugi kilichobaki mwambieni huyo mkuu wenu afute mbio za mwenge ili muwe salama bila hivyo CCM Mtalala milele
Mimi sijui sheria mkuu, kwanza kabla hatujafika mbali unajua maana ya upinzan? Maana naona ulichoandika hata hakiendanMkuu serikali yako ni sikivu hata wewe unaweza kuipazia sauti. Wasaidie hata msaada wa kisheria sio kulaumu tu. Je wewe umefanya kipi kuwasaidia?
hujajibu swali nduguKweli.
Lakini haya yote tulitahadharisha tokea mwanzo.
Wenye chama chao wakatupa vijembe kwa kuwa ishu wakati ule ilikuwa mikutano ya hadhara ya siasa na kwa kuwa ya kwao ilikuwa inaendelea, wakadhani wako salama.
Sasa panga linakata kote kote.
Tuvumilie maumivu sote.
Una akili sana mjomba balikiwaWe bwana we, kama una bifu na serikali kawavae.
Mleta mada alitaka kusikia maoni ya upinzani kuhusu hii bomoa bomoa. Kama huna jibu au maoni kuhusu hili basi potezea. Mimi siwezi kukusaidia na frustrations ulizonazo na serikali.
Kwani wao ndio walioleta ACCACIA, si imeletwa na CCM na wapinzani wakapiga kelele kuhusu utaratibu wa mikataba, na sasa wanapiga kelele kuhusu utaratibu unaotumika kuvunja mkataba, tatizo akili zenu mmezielekeza kusiko mkifikiri mnazo kumbe weupeAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Lengo la upinzan ni kutetea masilahi ya wananchi wanyonge na kuisimamia selikali, cha kusikitisha upinzan wetu wao wanajali matumbo yao tu wakifukuzwa bungen huungana kwa pamoja kumushitak speker kwa masilah yao
Kwa sasa wananchi wako kwenye matatizo makubwa ya hapa na pale wao wapo kimiya nyumba na makaz ya watu yanabomolewa wao wamekaa tu, uhuru wa kujieleza haupo tena wao wamekaa kaz yao ni kutetea mafisad
Acacia waliposhikiliwa makinikia yao hawa wapinzan wetu walikuja juu sana had nikasema yes huu ndo upinzan sasa lakin kwa sasa nyumba zinabomolewa na hakuna fidia wamekaa kimiya hakuna hata mmoja anayepasa saut yake
Kwahiyo nyie wapinzan kaz yenu ni kutetea mafisad, wauza ngada na wakwepa kodi? Mbona huku kitaa hatuwaelewi
Nguvu yenu kama upinzan iko wapi kwanini haionekan?
Kwanini msisimame upande wetu wanyonge badala ya kusimama upande wa mafisad na wakwepa kod?
Hao wakwepa kod wanawalipa kias gan ili nas tujichange tuwe tunawalipa kias hicho muweze kusimama upande wetu wanyonge?
Wengine mtajadili mwandiko wangu mara hapa hujaweka koma, mara umeandika utumbo gan huu badala ya kujadili hoja
Balikiwen katika bwana
Cc mbitiyaza
LONDON BABY
Umejuwaje kuwa wanafurahi kwani wao CDM hawabomolewi?!Nan kashangilia au nyie chadema mmafurah sana nyumba zikibomolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Lengo la upinzan ni kutetea masilahi ya wananchi wanyonge na kuisimamia selikali, cha kusikitisha upinzan wetu wao wanajali matumbo yao tu wakifukuzwa bungen huungana kwa pamoja kumushitak speker kwa masilah yao
Kwa sasa wananchi wako kwenye matatizo makubwa ya hapa na pale wao wapo kimiya nyumba na makaz ya watu yanabomolewa wao wamekaa tu, uhuru wa kujieleza haupo tena wao wamekaa kaz yao ni kutetea mafisad
Acacia waliposhikiliwa makinikia yao hawa wapinzan wetu walikuja juu sana had nikasema yes huu ndo upinzan sasa lakin kwa sasa nyumba zinabomolewa na hakuna fidia wamekaa kimiya hakuna hata mmoja anayepasa saut yake
Kwahiyo nyie wapinzan kaz yenu ni kutetea mafisad, wauza ngada na wakwepa kodi? Mbona huku kitaa hatuwaelewi
Nguvu yenu kama upinzan iko wapi kwanini haionekan?
Kwanini msisimame upande wetu wanyonge badala ya kusimama upande wa mafisad na wakwepa kod?
Hao wakwepa kod wanawalipa kias gan ili nas tujichange tuwe tunawalipa kias hicho muweze kusimama upande wetu wanyonge?
Wengine mtajadili mwandiko wangu mara hapa hujaweka koma, mara umeandika utumbo gan huu badala ya kujadili hoja
Balikiwen katika bwana
Cc mbitiyaza
LONDON BABY
Madaa umeielewa au hapa ndo akili yako inapoishiaKwani wao ndio walioleta ACCACIA, si imeletwa na CCM na wapinzani wakapiga kelele kuhusu utaratibu wa mikataba, na sasa wanapiga kelele kuhusu utaratibu unaotumika kuvunja mkataba, tatizo akili zenu mmezielekeza kusiko mkifikiri mnazo kumbe weupe
Kwanini wapo kimiya au ni unafikiUmejuwaje kuwa wanafurahi kwani wao CDM hawabomolewi?!
Cairo's
Sisi wananchi tusiojua kusoma na kuandika tutawezaje pasipo huyo lissu tuliyemuchagua kutupambaniaKWani Lissu alipowapa njia mbadala ya kufuata mlimuona siyo Mzalendo sasa mnatafuta nini??Aliwaambia bila kuondoa kipengele cha kutoshtakiwa waliotuingiza kwenye upumbavu huo Taifa litasota sana au hamkumuelewa??
Baba J ameogopa akitoa KINGA ya kutoshtakiwa wakati na yeye ana kaburi lake la Kivuko Kibovu hayuko salama ameona bora apate Kick asonge mbele.
Ukishatoa kipengele cha kutoshtakiwa watangulizi watawala wetu basi haki zetu zote tutapata maana hawa ndiyo waliokula RUSHWA kubwa na hata hao ACACIA hamuwezi kuwagusa sababu wanajua mkiwashtaki linawageukia walioretire.
Usirushe mawe wakati nyumba yako ni full vioo tena vya Kichina
Kwani wao CCM wanapiga mwano?! Hii nchi ni yetu sote muwe mnawasikiliza na hao wapinzani tusingefika huku!! Hebu kumbuka wapinzani walivyopigania mambo haya!! Lakini maamuzi yalifanyika sijui kumkomoa nani?!
Sisi wananchi tusiojua kusoma na kuandika tutawezaje pasipo huyo lissu tuliyemuchagua kutupambania
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaonekana kutulaumu wananchi kwan sisi ndo selikalKwani wao CCM wanapiga mwano?! Hii nchi ni yetu sote muwe mnawasikiliza na hao wapinzani tusingefika huku!! Hebu kumbuka wapinzani walivyopigania mambo haya!! Lakini maamuzi yalifanyika sijui kumkomoa nani?!
Cairo's