Hayo ya madau. Ushawahi kuona mtu hana kazi wala biashara anadanga tu mjini ila anaenda kwa bwana anaanza kuongelea biashara yake ya TZS 500M na anaomba apigwe tafu kwa kuongezewa 100M na anapewa?
Nilisahau kudanga nayo kazi. Sema inalipa sana tatizo ukizoea unajikuta miaka inakatika cha maana huna unaanza kwenda kushinda kanisani sasa upate mume na watoto
Nilisahau kudanga nayo kazi. Sema inalipa sana tatizo ukizoea unajikuta miaka inakatika cha maana huna unaanza kwenda kushinda kanisani sasa upate mume na watoto