kapompogoro
Member
- Apr 29, 2015
- 83
- 35
Too fine particles force of attraction btn water Na flour is too low
Mie nachanganya ngano mahindi na mtama mweupe ugali wake very healthy pia utafkiri umeweka muhogo. JaribuHabari!
Naomba kujua kwa nini unga wa ngano hua haupikwi ugali kama unga mwingine wa muhogo, mahindi nk.
Jamani hivi mnavyosema ni kweli au mnatuuzia chai?Ukiuchanganya na dona unapata ugali flani mtamuuu.
ugali wa ngano mzuri sana, ukila kiporo kinakua kama mkateHabari!
Naomba kujua kwa nini unga wa ngano hua haupikwi ugali kama unga mwingine wa muhogo, mahindi nk.
Jibu ni rahisi mkuu nunua kilo moja ya unga wa ngano chukua sufuria lenye maji bandika jikoni anza kupika ugali kwa kutumia huo unga wa ngano utapata jibu sahihiHabari!
Naomba kujua kwa nini unga wa ngano hua haupikwi ugali kama unga mwingine wa muhogo, mahindi nk.
Ninachokwambia ni kweli kabisa, usiukoroge uji tho!Jamani hivi mnavyosema ni kweli au mnatuuzia chai?
Nakumbuka nikiwa nyumbani niliwahi kupiga uji wa unga wa ngano, nilikuwa naelekea kusonga ugali, nikaambiwa niumwage.
Nenda kapike nao ugali utapata jibu.Habari!
Naomba kujua kwa nini unga wa ngano hua haupikwi ugali kama unga mwingine wa muhogo, mahindi nk.
Aliyekuambia unga wa ngano unaumuka ni nani..?Kwa sababu unga wa Mahindi hauumuki. Nawe tupe jibu.
Mkuu uongo kwa mtu mzima ni laana.Wengine unga wa ngano niliona wanapikia mpk pilau
uliposema udaga ...umenikumbusha mbali kinyama..n....Mmenikumbusha pindi nasoma nilienda kupima unga
Bahati mbaya yule mwana mama akanipimia ngano
Wakati huo niliacha maji yanachemka
Nilipofika tu nikachota nikaweka mmh yani nilistuka kuona rangi
Nikahisi huenda huu unga wa mahindi kuna udaga ulikuwemo
Nilisonga lakini naona haueleweki ikabidi nimuite rafiki yangu
Kuja akaanza kushika unga akasema aise hii ni ngano
Ilibidi tuumwage ila ulikuwa ugali tu nilihofia kula huenda ukafunga haja