Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Tupeane sababu hasa zinazokufanya uogope kifo [endapo unaogopa]. Na kama huogopi, unaweza kutoa sababu pia.
Binafsi siogopi kabisa kifo sababu kubwa ni kwamba, ni lazima nitakufa tu. Hakuna haja ya kuogopa. Nina ndugu, jamaa na marafiki wengi nimewazika. Naumia siku ya kwanza ila ndani ya muda nasahau. Kwahiyo, nimeshaona kifo ni kitu cha kawaida sana.
Iwe leo au kesho au hata mwakani ila najua ipo siku itatokea. Ila swali linakuja, je ni kifo cha aina gani? Je, wewe unaogopa kifo? Kama ndio, kwanini? Kama sio, kwanini?
Binafsi siogopi kabisa kifo sababu kubwa ni kwamba, ni lazima nitakufa tu. Hakuna haja ya kuogopa. Nina ndugu, jamaa na marafiki wengi nimewazika. Naumia siku ya kwanza ila ndani ya muda nasahau. Kwahiyo, nimeshaona kifo ni kitu cha kawaida sana.
Iwe leo au kesho au hata mwakani ila najua ipo siku itatokea. Ila swali linakuja, je ni kifo cha aina gani? Je, wewe unaogopa kifo? Kama ndio, kwanini? Kama sio, kwanini?