Kwanini unaniacha wakati nakuhitaji?


Inabidi umtafute mama akiwa peke yake muyajenge, ikibidi andaa vitenge vya kutosha.

Ukiweka na kiasi cha kueleweka (cash) wife anarudi haraka sana.

Ila baada ya hapo inabidi wewe na huyo mama na mkeo muwe na ukaribu mzuri, ikibidi kila mwezi uwe na bajeti yake, hii itasababisha mama asimshauri mwanae kuondoka kwako, maana anafaidika na wewe.

Ila ukimkaushia ndo anakufanyia haya.
 
Duh! Kazi unayo Mkuu huyu ana kiburi cha hali ya juu na hana uvumilivu hata chembe. Jitahidi ila the future of your marriage is bleak.
 

Ni waw ila na uchumi mgumu hata yeye labda ningekua mambo safi asingeondoka natarajia
 
Hana mimba mkuuu 100%
Basi Acha nikupe Hali halisi.

It seems sasa hivi hapo home maisha yameyumba kidogo... Ambayo ni kawaida na hasa kwa mwaka huu.

Sasa inabidi ujikaze kiume hata kama unampenda for the sake of the kids. Ukimuendekeza kuwa anaondoka Kila mara watakaoteseka Ni wanao sababu itawakosti Hadi shule.

So nakushauri ujikaze. Kata mawasiliano na yeye. Usimpigie, usimtext, mkaushie. Hela ya matumizi mtumie then kausha. Uchune kabisa. Akikupigia pokea lakini make it short na kuhusu watoto tu. Then kata na akipiga usipokee tena.

Kwao usiende eti kumfata arudi. Acha akae akili atarudi mwenyewe. Bahati nzuri watoto bado wadogo.

Mwanamke ganii unataka kumnyanyansa mumeo kisa ameyumba kimaisha. Uchukue nguo alizokununulia kweli umpelekee Mamake mzazi? With no shame at all? Sio sahihi.

Man Up ndugu! For the sake of your kids. Weka mapenzi pembeni.
 
Duh! Kazi unayo Mkuu huyu ana kiburi cha hali ya juu na hana uvumilivu hata chembe. Jitahidi ila the future of your marriage is bleak.

Inawezekana sana kaka
 
Duh! Kazi unayo Mkuu huyu ana kiburi cha hali ya juu na hana uvumilivu hata chembe. Jitahidi ila the future of your marriage is bleak.
 
Inaaweza kua ni kweli ila moyo ulibidi umuamini kua atakua hifadhi yake ya milele ila mambo yamegeuka moyo wangu nahangaika nao
Mkuu huo moyo unausingizia tu, we cheza na ubongo wako tu halafu jifunze kubalance shobo kwa mkeo.
 

Kaka nimekuelewa vizuri sana, nitajaribu kiongozi
 
Mimi Ni Mama wa watoto wawili. Ndo Maana nimeongea kwa hisia.

Usiseme utajaribu, it's the only way out.

Dada naufanyia kazi ushauri wako niombe dua ni kweli nilijiona nimefika ndio nikawa nazuzuka
 
Je huyio ni mke wako wa ndoa? Au umechukuliana na kuzaana. ? Maswali yangu yana umuhimu katika uliotuandikia tukupe ushauri.
 
πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…