Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Ukweli awali mama alikua hataki nimuowe ilifikia kumsusa ila baada ya kumuowa mke wangu alikua na bifu na mama yake ila mimi nikaona isiweshida nikafanya jitihada za kumuambia yule ni mama ake asimdharau nikamuelekeza basi wakawa si mama na mwaa ni kama marafiki maaana walikua karibu sana basi kumbe mama akiambiwa dogo la kwangu anamubia si nilikukataza na wife anaweka moyoni
Inabidi umtafute mama akiwa peke yake muyajenge, ikibidi andaa vitenge vya kutosha.
Ukiweka na kiasi cha kueleweka (cash) wife anarudi haraka sana.
Ila baada ya hapo inabidi wewe na huyo mama na mkeo muwe na ukaribu mzuri, ikibidi kila mwezi uwe na bajeti yake, hii itasababisha mama asimshauri mwanae kuondoka kwako, maana anafaidika na wewe.
Ila ukimkaushia ndo anakufanyia haya.