Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,613
- 27,249
Mimi pia Nina ndoa
Chepuka nami hutojuta.
Mimi pia Nina ndoa
Sio vizuri hivyo...njoo nyumbani Kibada hapa leo hata sielewi elewiAkuu sitaki
Mwenyewe nimeshangaa...hiyo nyama yenyewe tunabadili mara nundu...mara ya mbavu...siku zingine utumbo au hata ulimi!!Wewe fala kweli!Wewe unaweza kula ugali maharage kila siku?!
Baadaye Utaupata 🙄😀😂😊Kuna vitu vingine very funny...natamani kupata mrejesho kama kuna waliokwenda kupiga nyaa kwa DC
Walioko huko watuhabarishe, ila waliambiwa kama wana akili wangejenga usiku na mchana, japo kauli hii iliniacha mdomo wazi kwamba hao jamaa hawana akili halafu wakapewa uongozi, na bado anawashangaa.Kuna vitu vingine very funny...natamani kupata mrejesho kama kuna waliokwenda kupiga nyaa kwa DC
Nimechagua kupitwa na ivyo vingi.Unapitwa na vingi
Hapana.. siweziChepuka nami hutojuta.
Ahsante Sana.Sio vizuri hivyo...njoo nyumbani Kibada hapa leo hata sielewi elewi
Nikufate basi. Kwani uko wapi?Ahsante Sana.
Siwezi kuja.
Nilikuwa na rafiki yangu mmoja, yeye alioa kabla yangu. Lakini, baada ya kupita miezi kadhaa, akaanza kuchepuka. Mimi nikamuuliza, ni kwa nini wakati ana mke nyumbani? Akaniambia, jibu utalipata utakapo oa!Kuchepuka ni kitu kinachokuja automatically, na ndio maana hakujamuacha salama mtu wa aina yoyote. Awe waziri, Mchungaji, shekhe, mtume, nabii, mwalimu na awaye yeyote. It's just a matter of time and place.
Wewe fala kweli!Wewe unaweza kula ugali maharage kila siku?!
uyu kavurugwaKwasababu ni haki yangu kikatiba
Umejiroga Mwenyewe😅 utarogwa na nani!?Kwasababu nimerogwa..
Umeona eeh!Atoto ni atoto tuuu!
Ilikuwaje 😁Nilijikuta tu nachepuka..yaan wanaume bhana wana mbinu sana za ushawishi
Ndo hata sielewi ilikuaje..Ilikuwaje