Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,195
- 40,095
Siku ukiwa na content mpya nakupa ajira
Content iyo iyo msiyoipenda nitawapiga nayo kwenye mshono mpaka muite maji mma.Siku ukiwa na content mpya nakupa ajira
Atakuvumilia kwa lipi sasa? Kwamba uyo mwanaume anajinyea kwaiyo mwanamke atamtawaza? Au mwanamke haitaji mwenza kwaiyo kuamua kuwa na mwanaume ni kumuonea huruma tu? In which way a man become a burden kusema mwanamke analzimika kupewa hela ili amvumilie uyo mwanaume?Ukimpa mwanamke hela, atakuvumilia na wewe utaenjoy.
Ukiendekeza sijui mapenzi ya dhati, kuna siku utaumbuliwa. huwa yanaisha hayo.
Atakuvumilia kwa lipi sasa? Kwamba uyo mwanaume anajinyea kwaiyo mwanamke atamtawaza? Au mwanamke haitaji mwenza kwaiyo kuamua kuwa na mwanaume ni kumuonea huruma tu? In which way a man become a burden kusema mwanamke analzimika kupewa hela ili amvumilie uyo mwanaume?
Wapewe hela na baba au kaka zao au lah wafanye kazi na izo hela wakizipata wajue pia wao ni wanawake wana wajibu na mipaka yao katika mahusiano. Mwanamke akileta jeuri sisi kwetu ujaluoni tunajua cha kufanya.UWABATA mnasupport 50/50 tusipowapa hela wapewe na nani?
mnataka wafanye kazi wapate hela waanze kutukoromea?
Hakuna majibu umo ni upumbavu mtupuMajibu yapo humo.Nasema nanyi wanaume wenzangu
Wakuu habari za uzima? Leo nataka niongee na baadhi ya wanaume wenzangu wanaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwao kana kwamba sisi wanaume hatukosei kwenye jamii wakati maovu yote yanayofanywa na wanawake ni sawa tu na maovu yote yanayofanywa na wanaume. Wanawake wanaochepuka...www.jamiiforums.com
Pole sana mkuu.
Jan to Dec content hiyo hiyo πNimelia sana
Dogo atakuwa ana swaga au domo zege mbona wanawake wapo Tunaish nao hawatuombi pesa. Anatafuta maji marefu wakati yeye tia maji kazi yenyew hakunaπJan to Dec content hiyo hiyo π
Hivi rais wa CWT atazungumzia masuala ya sukari badala ya maslahi ya walimu?Siku ukiwa na content mpya nakupa ajira
Tatizo ww huna ajira. Kwa hiyo suala la pexa kwako litakua ngumu. Usitupe ushawishi mbaya. Tutazidi kuwahudumia. Hadi mwisho was dunia. Hawa viumbe ndio sitara zetu na viburudisho vyetuUyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!
Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man have reaponsibility to take care of a girlfriend financialy, au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe then no attachments.
The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.
Rais wa UWABATA jf
Unampa ili akupe, quid pro quo....nothing goes for nothing.Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!
Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man have reaponsibility to take care of a girlfriend financialy, au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe then no attachments.
The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.
Rais wa UWABATA jf