Kwanini ukitongozwa unatukana badala ya kukataa?

Kwanini ukitongozwa unatukana badala ya kukataa?

el nino

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
4,712
Reaction score
5,065
Inashangaza sana hawahawa wasichana wanaotukana wanaume wakiwatongoza,wasipotongozwa ndio hukesha kuzunguka kwa waganga huko wakiwa wanatafuta mvuto.

Hivi inakuaje msichana kuna mtu amempenda baada ya muda akaamua kukueleza ya moyoni, lakini cha kushangaza huyo mdada badala hata amkatae tu kiroho safi utasikia anaanza kurusha matusi ya ajabu ajabu au kejeli mara akublock whatsaap na instagram unaweza kukutana nae akaanza kukusonyaa tuu.

Wadada wenye tabia hizi mbaya mbadilike. Kwani kutongozwa ni ugomvi, mfano usipotongozwa miaka mitatu mfululizo si unaweza kufa kwa presha kwahiyo muwe wastaarabu.
 
Pole najua yamekukuta tatizo mnatongoza mtu sio status yako kwa nn asikutukane umezid tafuta wa hadhi yako babu we utakubaliwa na kila mtu wa hadhi yako
 
vile vile wanatukana wale ving'ang'anizi, mtu huna hadhi lakini umekomaa tu, kwanini asikutukane!
 
ha ha ha kwamba huyu kazi kutuma vimeseji dem akiuchuna kumpima imani "sina salio" anajibu poa wangu ukirecharge nichek ataachaje kutukanwa lol....
Nimeipenda hii..............
 
Pole mkuu, dawa yao ni pale watakopofika 27,28, 29, 30 aged alafu no muelekeo.. ngoja niishie hapo.
Mkuu umenena sana ndio wanaotusumbua humu na kutafuta wame nauku washakuwa used sana..
 
pole najua yamekukuta tatizo mnatongoza mtu sio status yako kwa nn asikutukane umezid tafuta wa hadhi yako babu we utakubaliwa na kila mtu wa hadhi yako

Fall for ua type huuh... Mi siamini hilo hata hvyo bado sijarukanwa na nikitukanwa ntaumiza mtu
 
vile vile wanatukana wale ving'ang'anizi, mtu huna hadhi lakini umekomaa tu, kwanini asikutukane!

Unaposema hadhi unamaanisha nini...naomba unielimishe hapa
 
yaani umeingia choo ambacho si hadhi yako kwa kiswahili kifupi mwenzako anatumia tigo wewe unatumia voda kwenda kushotoo ahahahahaaa
 
Huo ni utoto na ushamba.Kama simtaki mtu namwambia tu kuliko kusumbuana kila leo.
 
pole najua yamekukuta tatizo mnatongoza mtu sio status yako kwa nn asikutukane umezid tafuta wa hadhi yako babu we utakubaliwa na kila mtu wa hadhi yako

Mtu siyo status yako ndo nani? Hiyo status yeye si kaikuta tu. Ni kasumba tumeijenga ila haina cha maana zaidi
 
Back
Top Bottom