Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Ofisi zipo kwa wananchi na ndio maana muda wote tupo kwenye Mikutano na wananchi nyie mmekaa kwenye viti vya kuzunguka mkitengeneza deal za Rada na EPA sasa naona mmeanza na upromotaNa ndiyo sababu tunasema Chadema sio suluhisho la matatizo ya Tanzania ni copy and paste mfumo wa CCM sasa ikiwa mnakopi kila jambo kutoka CCM hili ulaji mtaliacha? Chadema mnapata mil.250 kwa mwezi ofisi bado ipo vichochoroni mna miaka minagapi mnapewa ruzuku na hakuna mnalofanya zaidi ya ulaji na mwenyekiti, katibu na watu wa karibu?
Chama
Gongo la mboto DSM
Chris Lukosi,
Nadhani umejiunga Chdema juzi huijui Chadema, umeandika maelezo marefu lakini umesahau kama Chadema ni chama cha kikanda na kikoo.
Hunajua kama Tundu Lissu, na Dada yake wote ni wabunge wa Chadema, hunajua kama Mbowe ni mkwe wa Mtei, hunajua kama Ndesamburo na binti yake pamoja na mkwe wake wote ni wabunge, hunajua Rose Kamili, mbunge ni mke wa Dr Slaa, hunajua mbunge wa Karatu ni dada yake Dr Slaa wa ubatizo.
Hunajua kama M4C ni mradi wa viongozi wa Chadema kutoka Kaskazini. Lema, Mbowe, Dr. Slaa.
chama, matokeo aliyotoa Chris Lukosi ni ya uchaguzi ulipita, Satta ndiye rais wa Zambia kwa sasa. Now, do you know amepambana na rushwa kiasi gani? Kaanzia kwa Banda (rais aliyepita) na marafiki/ndugu zake. Watu wanachimbia hela ardhini huko Zambia (RIP Sokoine) maana wanajua king cobra hatanii.
Ukisoma vizuri hoja ya Chris utapata ujumbe, kwamba kama mambo hayaendi sawa then you must change something. Kwa kubadili mwelekeo, wazambia wametoa ujumbe loud & clear - kama mambo hayaendi watabidili engine.
Labda nikuulize, kwa hali ilivyo sasa Tanzania kuna kitu cha kubadilisha?
Ofisi zipo kwa wananchi na ndio maana muda wote tupo kwenye Mikutano na wananchi nyie mmekaa kwenye viti vya kuzunguka mkitengeneza deal za Rada na EPA sasa naona mmeanza na upromota
Angalia huko uliko halafu linganisha pili angalia Kenya Nairobi Pamoja na Ethiopia addis ababa nchi ambayo ilikuwa na janga la njaa uone network za barabara za kisasa ukiona utafikiri ni huko uliko za kwetu ni vichochoro unaita barabara!!!!Maendeleo yapo mengi tu Tanzania; kama yasingekuwapo hata hiyo M4C isingekuwapo kwasababu ingebidi mfyeke misitu ili muwafikie wananchi wa vijijini; lakini kutokana na sera ya CCM na serikali yake mnaweza kuwafikia wananchi; ni mtu chizina pimbi ndiye atakayesema Tanzania hatuna maendeleo.
Chama
Gongo la mboto DSM
Soma alichoandika Lukosi na nilichomjibu usiiingilie katikati hutaelewa; nafahamu sana vita vya rushwa Satta anavyopigania; ukiiangalia sana anaendeleza kila alichokianza mar. Mwanawasa; hebu niambie kiongozi gani wa Chadema mwenye courages kama za Satta?
Chadema
Gongo la mboto DSM
mimi nachekesha wewe hujaelewa, nahapa ndipo huwa nafikilia usingizi badala ya jf. unafahamu kwa nini nilikuji hivi?
Kama ww huchekeshi elezea kwa nin nilikupa jibu hili?
Mim sikurukupi unatoa maelezo mengi unasahau hata kwanini nilikupa jibu hilo vuta kumbukumbu au rudia kusoma jibu la kwanza kabisa kisha tuendelee. vinginevyo ni marumbano ya magumashi..........
Kwani ccm ina ofisi ilizojenga zaidi zaidi ya kutaifisha baada ya ujio wa vyama vingi walitakiwa zirudi serikalini zote ndio waanze upya Kama wenzaoRitz;
naendelea kuamini mapimbi Chadema wengi sana haya ndiyo majibu waliyonayo kwani mkijenga ofisi yenye hadhi bado hamtakuwa karibu na wananchi?
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu Ritz,'
Huwa nakushangaa unapoanza kucheza hii ngoma ya ukanda na ukoo kwa upande wa Chadema. Lakini waswahili wana msemo kuwa nyani haoni kundule. Nadhani hapo umenipata.
Nimesoma na nimelewa and that was the basis of my reply. On the red, vacate Magogoni/govt, let CHADEMA in and after 100 days you have every right to come here for a comparative analysis.
Angalia huko uliko halafu linganisha pili angalia Kenya Nairobi Pamoja na Ethiopia addis ababa nchi ambayo ilikuwa na janga la njaa uone network za barabara za kisasa ukiona utafikiri ni huko uliko za kwetu ni vichochoro unaita barabara!!!!
Ritz;
naendelea kuamini mapimbi Chadema wengi sana haya ndiyo majibu waliyonayo kwani mkijenga ofisi yenye hadhi bado hamtakuwa karibu na wananchi?
Chama
Gongo la mboto DSM
Umesahau, wote hao wamechaguliwa/kuteuliwa kwa mujibu wa sheria. Watoto wa Mubarak waliingiaje kwenye uongozi, do you know?
Satta didn`t come from the blue to win election; just mention one name of so called M4C leaders who is clean ethical; what you guys going to change in 100%? are you serious? Satta won election because of clean ethic values; Zambians were motivated by his courage, remember Satta is UNIP by blood; if you don`t ask those who knows him well!
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu hatuzungumzii ombaomba kwasababu hata hapa wapo wengi sana tunaongelea barabara. Tena Ritz umenikumbusha glass imekauka Huku. Mhudumu!!!!!!!!!!!!!!! tafadhali ongeza glass nyingine ya vodka usisahau kumwambia huko jikoni atangeneze roast ya mduduMkuu mkikaa kwenye vijiwe vyenu mnadanganyana huku mnakunywa Valerur na Vodka, hivi umeishafika Addis Ababa? ombaomba wamejaa mpaka airport.
Kwani ccm ina ofisi ilizojenga zaidi zaidi ya kutaifisha baada ya ujio wa vyama vingi walitakiwa zirudi serikalini zote ndio waanze upya Kama wenzao
Mkuu chama,
Hawa jamaa wanataka kuwaaminisha watanzania kuwa eti wapo kwenye mapambano wakati wanachofanya ni kama vile Apple-Samsung case.
Mkuu ebu tuambie ni vigezo gani vilitumika ndani ya Chadema kuwapata wabunge wa viti maalum.
Mkuu hatuzungumzii ombaomba kwasababu hata hapa wapo wengi sana tunaongelea barabara. Tena Ritz umenikumbusha glass imekauka Huku. Mhudumu!!!!!!!!!!!!!!! tafadhali ongeza glass nyingine ya vodka usisahau kumwambia huko jikoni atangeneze roast ya mdudu
Ni vichochoro ukilinganisha na nchi tulizo kuwa sawa miaka 50 iliyopitaHivi Tanzania hatuna barabara ukienda Moshi unapita wapi?
Chama
Gongo la mboto DSM