Kwanini ujasiri/ushujaa ni muhimu kuliko IQ unapotaka kufanikiwa?

Daby

JF-Expert Member
Oct 26, 2014
33,648
75,732
Kwanini ujasiri/ushujaa ni muhimu kuliko IQ unapotaka kufanikiwa.

Leo katika pitapita zangu nimekutana na hiki kitu. Karibu tujifunze wote. Umehudhuria hafla ya marafiki wa muda mrefu uliosoma nao. katika maongezi ya hapa na pale unagundua wanafunzi waliokuwa na uwezo darasani na ambao kila mtu/mwalimu alijua lazima watavumbua mambo mapya katika ulimwengu hawajafanikiwa kwa kiasi ambacho kila mtu alikuwa anawatazamia.

Kiuhalisia ni dhahiri Akili/intelligence inaweza kuwa sio kiashiria cha mafanikio. Angalia hapa Mwanasaikolojia Duckworth alishawahi kusema kinachosababisha mafanikio sio kipaji cha mtu... but it's a special blend of persistence and passion that she calls grit/ujasiri.(kiswahili misamiati ni migumu).

Duckworth alitumia muda wake kujifunza kinachosababisha mtu afanikiwe. Alipopata majibu alishangaa. Sio IQ score wala sio GPA wala sio shahada ya chuo kikubwa duniani kinachosababisha mtu kufanikiwa. La hasha, ila ni muunganiko wa ujasiri,uthubutu na hamu/passion ndio vilivyopo kwenye mioyo ya waliofanikiwa. Achievers they have GRIT.

Being grit is ability to persevere/kuwa na subira. Grit Ni kuwa na ujasiri na kufanya kazi kusiko kwa kawaida huku ukivumilia vikwazo na misukosuko yote. GRIT Its highly being constantly to improve. Hivyo kwa lugha rahisi ujasiri unaamsha mihemko/hamu ya mafanikio. Hivyo ndugu yangu unapotaka kufanikiwa ni vyema kujihakiki na kujitathimini juu ya Mambo yaliyoelezwa hapo juu.

NB : sidhani kama utauliza swali je wanaoandika haya wao wamefanikiwa? Jibu, labda uandishi ndiyo njia waliochagua katika mafanikio yao ila pia hayakuhusu wewe soma ukiona ni mazuri fuata kama hutaki basi lala au uende kwa waganga utafanikiwa.
Ahsanteni karibuni kwa uzoefu.
 
Big up kijana.... Asante kwa uzi mzuri
 
Kwanini ujasiri/ushujaa ni muhimu kuliko IQ unapotaka kufanikiwa.

Leo katika pitapita zangu nimekutana na hiki kitu. Karibu tujifunze wote. Umehudhuria hafla ya marafiki wa muda mrefu uliosoma nao. katika maongezi ya hapa na pale unagundua wanafunzi waliokuwa na uwezo darasani na ambao kila mtu/mwalimu alijua lazima watavumbua mambo mapya katika ulimwengu hawajafanikiwa kwa kiasi ambacho kila mtu alikuwa anawatazamia.

Kiuhalisia ni dhahiri Akili/intelligence inaweza kuwa sio kiashiria cha mafanikio. Angalia hapa Mwanasaikolojia Duckworth alishawahi kusema kinachosababisha mafanikio sio kipaji cha mtu... but it's a special blend of persistence and passion that she call grit/ujasiri.(kiswahili misamiati ni migumu).

Duckworth alitumia muda wake kujifunza kinachosababisha mtu afanikiwe. Alipopata majibu alishangaa. Sio IQ score wala sio GPA wala sio shahada ya chuo kikubwa duniani kinachosababisha mtu kufanikiwa. La hasha, ila ni muunganiko wa ujasiri,uthubutu na hamu/passion ndio vilivyopo kwenye mioyo ya waliofanikiwa. Achievers they have GRIT.

Being grit is ability to persevere/kuwa na subira. Grit Ni kuwa na ujasiri na kufanya kazi kusiko kwa kawaida huku ukivumilia vikwazo na misukosuko yote. GRIT Its highly being constantly to improve. Hivyo kwa lugha rahisi ujasiri unaamsha mihemko/hamu ya mafanikio. Hivyo ndugu yangu unapotaka kufanikiwa ni vyema kujihakiki na kujitathimini juu ya Mambo yaliyoelezwa hapo juu.

NB : sidhani kama utauliza swali je wanaoandika haya wao wamefanikiwa? Jibu, labda uandishi ndiyo njia waliochagua katika mafanikio yao ila pia hayakuhusu wewe soma ukiona ni mazuri fuata kama hutaki basi lala au uende kwa waganga utafanikiwa.
Ahsanteni karibuni kwa uzoefu.
# 1
Halafu narudi
 
Ni kweli kabsa uthubutu, ujasiri na kua na mdomo kama bashite ndo wanafanikiwaga

Uwoga wako ndo ujinga wako
Ni kweli
Sometimes tunatakiwa kujipendekeza kiujanja..ropoka inasaidia saana. Ujasiri ukijua namna ya kucheza nao katika miktadha tofauti utakick aseeeh
 
Unajua Bill Gate alikua anasapuka sana chuoni lakini yule class mate wake aliyekua anapata upper class GPA ni engineer kwenye kampuni ya bill gate
 
Kwanini ujasiri/ushujaa ni muhimu kuliko IQ unapotaka kufanikiwa.

Leo katika pitapita zangu nimekutana na hiki kitu. Karibu tujifunze wote. Umehudhuria hafla ya marafiki wa muda mrefu uliosoma nao. katika maongezi ya hapa na pale unagundua wanafunzi waliokuwa na uwezo darasani na ambao kila mtu/mwalimu alijua lazima watavumbua mambo mapya katika ulimwengu hawajafanikiwa kwa kiasi ambacho kila mtu alikuwa anawatazamia.

Kiuhalisia ni dhahiri Akili/intelligence inaweza kuwa sio kiashiria cha mafanikio. Angalia hapa Mwanasaikolojia Duckworth alishawahi kusema kinachosababisha mafanikio sio kipaji cha mtu... but it's a special blend of persistence and passion that she call grit/ujasiri.(kiswahili misamiati ni migumu).

Duckworth alitumia muda wake kujifunza kinachosababisha mtu afanikiwe. Alipopata majibu alishangaa. Sio IQ score wala sio GPA wala sio shahada ya chuo kikubwa duniani kinachosababisha mtu kufanikiwa. La hasha, ila ni muunganiko wa ujasiri,uthubutu na hamu/passion ndio vilivyopo kwenye mioyo ya waliofanikiwa. Achievers they have GRIT.

Being grit is ability to persevere/kuwa na subira. Grit Ni kuwa na ujasiri na kufanya kazi kusiko kwa kawaida huku ukivumilia vikwazo na misukosuko yote. GRIT Its highly being constantly to improve. Hivyo kwa lugha rahisi ujasiri unaamsha mihemko/hamu ya mafanikio. Hivyo ndugu yangu unapotaka kufanikiwa ni vyema kujihakiki na kujitathimini juu ya Mambo yaliyoelezwa hapo juu.

NB : sidhani kama utauliza swali je wanaoandika haya wao wamefanikiwa? Jibu, labda uandishi ndiyo njia waliochagua katika mafanikio yao ila pia hayakuhusu wewe soma ukiona ni mazuri fuata kama hutaki basi lala au uende kwa waganga utafanikiwa.
Ahsanteni karibuni kwa uzoefu.
Mi sitaki nalala
 
Ni kweli
Sometimes tunatakiwa kujipendekeza kiujanja..ropoka inasaidia saana. Ujasiri ukijua namna ya kucheza nao katika miktadha tofauti utakick aseeeh
Hapo na pingana na wewe.
Kujipendekeza sometime mwisho wake sio mzuri.
Point za msingi hapo ni uthubutu.na uvumilivu.
Ila kupata one darasani na kufaulu maisha ni vitu viwili tofauti.
 
Kinachotufanya tuliokua tunafaulu sana class tuzingue kwenye maisha ni ule ujasiri fake na kujifariji kwamba nikimaliza chuo nitapata kazi nzuri yenye kipato kikubwa,ukirudi uraiani kitu unachokutana nacho ni tofauti kabisa
 
Back
Top Bottom