YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,033
MAREKANI jina limetokana na neno AMERICAN Sasa waswahili neno hilo kulitamka kiswahili wakaondoa hiyo A ya mbele likabaki neno MERICAN sasa kulitamka kiswahili ndio ikawa MAREKANI.Wakikujibu nitag mzee!
Niliwahi kuwauliza watu wa Baraza la Kiswahili hili swali mara MBILI tofauti, sidhani kama waliwahi kunipa jibu la kueleweka.
by YEHODAYA {PHD in KISWANGLISH}