Kwanini U.S.A inaitwa Marekani?

Kwanini U.S.A inaitwa Marekani?

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,390
Kwa nini USA inaitwa Marekani, au Egypt inaitwa Misri.au France inaitwa Ufaransa?

Wenyewe wanajua haya majina ya nchi yao yanayotumika huku?


Kwa nini majina ya nchi zingine yanabaki hivyo hivyo ,mfano ukisema Tanzania dunia nzima wanaita hivyo, Kenya dunia nzima wanaita hivyo

lakini ukija U.S.A huku kwetu tunaita Marekani, Turkey huku kwetu tunaita Uturuki nk.
 
Em pata picha USA iitwe Tanzania! & Tz iitwe Marekani..
*nahisi umepata majibu tosha kabisa
 
Nimeshaelewa unapoelekea na si pengine bali STIEGLERS GORGE. BAVICHA mnaboa sasa
 
Kwa nini USA inaitwa Marekani, au Egypt inaitwa Misri.au France inaitwa Ufaransa?

Wenyewe wanajua haya majina ya nchi yao yanayotumika huku?


Kwa nini majina ya nchi zingine yanabaki hivyo hivyo ,mfano ukisema Tanzania dunia nzima wanaita hivyo, Kenya dunia nzima wanaita hivyo

lakini ukija U.S.A huku kwetu tunaita Marekani, Turkey huku kwetu tunaita Uturuki nk.

Wakikujibu nitag mzee!

Niliwahi kuwauliza watu wa Baraza la Kiswahili hili swali mara MBILI tofauti, sidhani kama waliwahi kunipa jibu la kueleweka.
 
Wakikujibu nitag mzee!

Niliwahi kuwauliza watu wa Baraza la Kiswahili hili swali mara MBILI tofauti, sidhani kama waliwahi kunipa jibu la kueleweka.
napataga tabu sana kuelewa ngoja wajuzi waje
 
Na ulipaswa kutopewa jibu....... Huwez uliza swali la kizembe km ilo ukategemea msaada toka kwa baraza.....


Labda uani.

Kwa hiyo wanapata kodi zetu ili watu kama nyie tu ndiyo mkaulize maswali smart? Basi na sisi wenye maswali ya kizembe tuundiwe baraza letu.

Na kujibu walinipa jibu ingawa mara ya kwanza nilipowauliza katika banda lao la sabasaba walikuwa na kigugumizi. Nikikumbuka vizuri jibu walilonipa ofisini kwao nitamsaidia mleta mada.
 
Kwa nini USA inaitwa Marekani, au Egypt inaitwa Misri.au France inaitwa Ufaransa?

Wenyewe wanajua haya majina ya nchi yao yanayotumika huku?


Kwa nini majina ya nchi zingine yanabaki hivyo hivyo ,mfano ukisema Tanzania dunia nzima wanaita hivyo, Kenya dunia nzima wanaita hivyo

lakini ukija U.S.A huku kwetu tunaita Marekani, Turkey huku kwetu tunaita Uturuki nk.
Hiyo hutokana na mapokezi ktk lugha izungumzwayo na jamii fulani au asili ya eneo husika.
 
napataga tabu sana kuelewa ngoja wajuzi waje

Kuhusu kama marekani wanajua kama kuna watu huko wanaiita nchi yao hivyo, jibu ni rahisi, hapana. Kuna uzi humu mtu ameleta mada kwamba Tanzania hatujulikani kwa hiyo ni wazi wengi huko duniani hawajui tunawaza nini, tuna philosophies gani, tunaionaje dunia na kuziitaje nchi zingine, nk!!

Kuhusu swalo lako lingine, jibu ninalodhani nilipewa kwenye baraza, kama nakumbuka vizuri, ni sababu za kimatamshi tu ili majina hayo ya kigeni yawe na lafudhi za kiswahili. Kitu kama hicho.
 
Mwingereza ana iita Spain, lkn spain inaitwa Espana
Mimi nadhani haya masuala ya majina huitwa kulingana na Structure, Syntax na Sematic ya lugha husika. Mfano hata majina ya watu utaona yale ya kiebrania au kiingereza yana kiswahili chake. Mfano John=Yohana, James=Yakobo, Jesus=Yesu.
 
Kila lugha inanamna ya kutaja majina ya nchi/vitu tofauti duniani.
Lugha
Lugha
Lugha
Kuku kule anaitwa chicken

USA kwa kifaransa inaitwa
"Les états unis"

HISPANIA - Kiswahili
ESPAGNE - Kifaransa
ESPAÑA - Kihispania
SPAIN - Kiinglish

Na Sio kila lugha wanaiandika TANZANIA kama hivyo

TANSANIA kijerumani
TANZANIE kifaransa

Tumia "GOOGLE TRANSLATE"

Kwa nini USA inaitwa Marekani, au Egypt inaitwa Misri.au France inaitwa Ufaransa?

Wenyewe wanajua haya majina ya nchi yao yanayotumika huku?


Kwa nini majina ya nchi zingine yanabaki hivyo hivyo ,mfano ukisema Tanzania dunia nzima wanaita hivyo, Kenya dunia nzima wanaita hivyo

lakini ukija U.S.A huku kwetu tunaita Marekani, Turkey huku kwetu tunaita Uturuki nk.
 
Back
Top Bottom