mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Ndio akili zako wewe na wagalatia wenzio.Ndio akili zao
Kasome vizuri biblia, Abraham alitokea Ur ya wakaldayo ambayo ni Iraqi ya Sasa. Kumbuka Abaraham ndio alipewa canaan hivyo naye alikua ni mhamiaji tu kutokea uarabuni huko.kaanani ni iraq au siyo kwa mujbu wa biblia wayahudi au waisrael wana wa yakobo walikuwepo kwny miji ya bethlehemu, yerusalem, jordan nk sa huko iraq