Kwanini tuwachukie wayahudi?

Kwanini tuwachukie wayahudi?

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,250
Reaction score
26,639
WAISLAMU WANATAKA TUWACHUKIE WAYAHUDI

Wanatulazimisha Wakristo tuwachukie Wayahudi na tuwaue kama wao walivyoamrishwa kuwaua.

Maana riwaya zao zinawaambia kuwa Kiyama hakiwezi kuja hadi Waislamu wawaue Wayahudi wote duniani. Muislamu anayefuata dini kamwe hawezi kuwapenda Wayahudi. Ndio maana makundi kama Hezbollah, Hamas wote wana kauli mbiu ya kuwafuta Wayahudi duniani. Na Iran pia imetamka mara nyingi tu kuwafuta Wayahudi duniani. Na hilo ndio tamanio la kila muislamu. Myahudi akipigwa ndio furaha yao. Hata zama za mfalme Ahusuero wa Uajemi aliinuka mtu anayeitwa Haman na kutaka kuwafuta Wayahudi wote duniani lakini aliishia kufa yeye na watoto wake na wote walioshiriki naye.

Sababu za Waislamu za kutaka tuwachukie Wayahudi

1) Wayahudi walimuua Yesu na manabii
2) Wayahudi wanauchukia Ukristo
3) Wayahudi ni wadhalimu

Najibu hoja hizi tatu kwa ujumla:

Tunalijua hilo na sio kazi yetu kuwachukia. Huo ni ugomvi wao na Mungu. Na ninaona hiyo sio sababu kwenu ya kuwachukia, ni zuga tu, mimi naona sababu ya kuwachukia Wayahudi ni kwasababu walimuua mtume wenu Muhamad kwa sumu na Muhamad akawalaani siku ya kufa kwake tena alituunganisha nasi katika laana hiyo basi mnataka nasi tuungane nanyi kwenye chuki na vita hiyo. Mshindwe.

Mjue kuwa sisi tumekatazwa kulipa kisasi na kuwa na chuki. 1 Yn 3:15. Ni kweli Wayahudi tunatofauti nao kwenye thelojia kuhusu masihi na tumekuwa maadui kwasababu hiyo. Na ni kweli walimkataa Yesu na kutesa Wakristo, ila Yesu aliwasamehe kwa kutojua walitendalo na akatuusia kuwahubiri wa kwanza na kuwapenda ili nao waokolewe. Na upo unabii wa kuokolewa kwao siku za mwisho. Na zaidi Wayahudi ndio Wakristo wa mwanzo kabisa. Maana Yesu na mitume wake walikuwa Wayahudi na zaidi 99% ya manabii ni Waisraeli. Na Waisraeli hawajaanza ukorofi leo, ni toka Yakobo baba yao.

Mungu hajawatupa Wayahudi wala hawachukii wala hajawaacha. Mtume Paulo anasema:


Rum 11:1-5 SUV
[1] Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu wake? Hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya Benyamini. [2] Mungu hakuwasukumia mbali watu wake aliowajua tokea awali. Au hamjui yale yaliyonenwa na maandiko juu ya Eliya? Jinsi anavyowashitaki Waisraeli mbele za Mungu, [3] Bwana, wamewaua manabii wako, wamezibomoa madhabahu zako, nami nimesalia peke yangu, nao wananitafuta roho yangu. [4] Lakini ile jawabu ya Mungu yamwambiaje? Nimejisazia watu elfu saba wasiopiga goti mbele ya Baali. [5] Basi ni vivi hivi wakati huu wa sasa, yako mabaki waliochaguliwa kwa neema.

Kuhusu kuwaombea alisema:

Rum 9:1-5 SUV
[1] Nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo, dhamiri yangu ikinishuhudia katika Roho Mtakatifu, [2] ya kwamba nina huzuni nyingi na maumivu yasiyokoma moyoni mwangu. [3] Kwa maana ningeweza kuomba mimi mwenyewe niharimishwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, jamaa zangu kwa jinsi ya mwili; [4] ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake; [5] ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili.

Na tena,

Rum 10:1 SUV
[1] Ndugu zangu, nitakayo sana moyoni mwangu, na dua yangu nimwombayo Mungu, ni kwa ajili yao, ili waokolewe.

Hivyo mkristo wa kweli akiwachukia Wayahudi kwasababu ya maovu yao na akiungana na mataifa kuwaua au kuwaangamiza basi huyo sio mkristo. Na sio kwamba Wakristo wanapenda madhulumu kwa Wapalestina bali wanaona Wapalestina ndio walioanza madhulumu toka 1948. UN iligawanyisha nchi hiyo na wao walipokea eneo kubwa lakini wakalikataa na wakata nchi yote. Hivyo wakaungana na Waarabu wenzao kutaka kuwafuta Wayahudi. Wakashindwa mara kwa mara na kujikuta wamepoteza badala ya kupata. Sasa wanaangaika kurejesha walichokipoteza bila mafanikio. Na Wayahudi hawawaamini tena maana walishaonesha hila dhidi yao.

Hoja nyingine za Waislamu

1) Hao sio Wayahudi ni wazungu
2) Wauaji
3) Mashoga
4) Wamepora ardhi

1) Wamesahau Umar ibn Kattab alikuta Wayahudi Yerusalem akaweka mkataba wa amani kati ya Wayahudi, Wakristo na Waislamu. Wamesahau kuwa Suleman Magnificient Sultan wa Othoman mnamo karne ya 16 aliweka kanuni ya kuishi kwa Wakristo, Wayahudi na Waislamu katika mji wa Yerusalemu na miji mingine. Na mnamo 1917 wakati Greater Britain imeitwaa Yerusalem na levant kwa ujumla nao waliweka kanuni hiyo hiyo ya Wakristo, na Wayahudi na Waislamu kuishi kwa uhuru. Kama Wayahudi ni wazungu wa Ulaya hao ambao Umar, Suleman na Britain waliwakuta walikuwa ni wazungu wa wapi?

Ni kweli wapo Wayahudi walitoka Ulaya kuja hapo hasa baada ya vita vya kwanza na vya pili. Pia watu wasisahu kuwa wapo Wayahudi ambao walitokea Afrika kaskazini, Iraq, Ethiopia, Sudan, Yemen, Oman, Iran, Syria baada ya kufukuzwa na Waarabu. Je tuseme nao ni wazungu?

Watambue tu Wayahudi walitawanyika duniani hata kabla ya kuzaliwa kwa Yesu. Waliishi Ulaya (Rumi, Spain na Ugiriki) zama hizo. Hata Muhamad anazaliwa anawakuta Wayahudi Hejaz wakiwa wanamiliki uchumi na baadae akapigana nao na kuwafukuza huko. Je nao walikuwa ni wazungu?

2. Hoja ya pili, Wayahudi kuua hawajaanza leo, hata Canaan waliipata kwa kuua wenyeji. Kina Musa, Yoshua, Daudi waliua sana tu. Ingawa Ukristo umekataza yote hayo lakini wao hawafuati ukristo bali agano la kale ambalo linatoa kibali kuua adui yako. Sasa hapo utawahukumuje?. Na ninyi Waislamu mbona nanyi mnaua maadui zenu kwa kuwaita makafiri? tena mnafurahia sana vifo vya Wayahudi. Hivyo ninyi ni walewale tu tena wabaya zaidi ya Wayahudi katika eneo hilo.

3. Dhambi ya ulawiti na ufiraji haijaanza leo, Wayahudi walishaifanya kitambo sana kabla ya Kristo. Na sisi hatuungani na hayo ila yapo duniani ikiwemo hapa Tanzania. Hata hapa Dar tuna kina anti Abuu, Abdalah, Umar nk. Mbona hamuwaui?. Na ufiraji ulitamalaki katika bara Arabu toka kitambo. Na zipo riwaya kibao za mashia na masuni zikiruhusu ufiraji na ulawiti. Maandiko ya Kiyahudi hayaruhusu ushoga ila wapo Wayahudi waasi wanaoruhusu hayo na wapo wanaopinga kama Orthodox Jews.

4. Hawajapora bali ni eneo waliloishi toka kitambo na hawajawahi kuondoka wote hapo katika historia. Waarabu ndio waporaji na wezi wa maeneo ya wengine. Na tunawaona leo Ulaya huko wakilazimisha sharia law. Waarabu/Waislamu walipora Misri, North Afrika, Syria, Iraq, Yerusalemu/Israeli, Anatolia nk na kuweka utawala wao. Wayahudi hawajawahi pora ardhi daima wanang'ang'ania eneo la historia yao basi.

Mwisho: Chuki iwe juu yenu ninyi, sisi sio kazi yetu ama wito wetu. Wito wetu ni kuwaombea waokoke na sio kuwafisha. Imeandikwa:

Rum 11:11-12 SUV
[11] Basi nasema, Je! Wamejikwaa hata waanguke kabisa? Hasha! Lakini kwa kosa lao wokovu umewafikilia Mataifa, ili wao wenyewe watiwe wivu. [12] Basi, ikiwa kosa lao limekuwa utajiri wa ulimwengu, na upungufu wao umekuwa utajiri wa Mataifa, je! Si zaidi sana utimilifu wao?

Na tena:

Rum 11:28 SUV
[28] Basi kwa habari ya Injili wamekuwa adui kwa ajili yenu; bali kwa habari ya kule kuchaguliwa wamekuwa wapenzi kwa ajili ya baba zetu.

Hivyo ni maadui kwa injili ila ni wapenzi (marafiki) kwajili ya mababa. Hata Quran yenu inashuhudia kuwa Wayahudi na Wakristo ni marafiki wao kwa wao. Ikiwataka msifanye urafiki nasi. Quran 5:51

Maswali kwenu

1) Quran inasemaje kuhusu makazi ya Wayahudi?

2) Nani mmiliki halali wa Yerusalemu, Bethlehemu, na nchi hiyo kwa ujumla kati ya Wayahudi na Waarabu?

3) Utawala wa Daudi na Suleman ulikuwa wapi kihistoria?

4) Daudi na Suleman walikuwa ni Waarabu au Wayahudi?
 
WAISLAMU WANATAKA TUWACHUKIE WAYAHUDI

Wanatulazimisha Wakristo tuwachukie Wayahudi na tuwaue kama wao walivyoamrishwa kuwaua.

Maana riwaya zao zinawaambia kuwa Kiyama hakiwezi kuja hadi Waislamu wawaue Wayahudi wote duniani. Muislamu anayefuata dini kamwe hawezi kuwapenda Wayahudi. Ndio maana makundi kama Hezbollah, Hamas wote wana kauli mbiu ya kuwafuta Wayahudi duniani. Na Iran pia imetamka mara nyingi tu kuwafuta Wayahudi duniani. Na hilo ndio tamanio la kila muislamu. Myahudi akipigwa ndio furaha yao. Hata zama za mfalme Ahusuero wa Uajemi aliinuka mtu anayeitwa Haman na kutaka kuwafuta Wayahudi wote duniani lakini aliishia kufa yeye na watoto wake na wote walioshiriki naye.

Sababu za Waislamu za kutaka tuwachukie Wayahudi

1) Wayahudi walimuua Yesu na manabii
2) Wayahudi wanauchukia Ukristo
3) Wayahudi ni wadhalimu

Najibu hoja hizi tatu kwa ujumla:

Tunalijua hilo na sio kazi yetu kuwachukia. Huo ni ugomvi wao na Mungu. Na ninaona hiyo sio sababu kwenu ya kuwachukia, ni zuga tu, mimi naona sababu ya kuwachukia Wayahudi ni kwasababu walimuua mtume wenu Muhamad kwa sumu na Muhamad akawalaani siku ya kufa kwake tena alituunganisha nasi katika laana hiyo basi mnataka nasi tuungane nanyi kwenye chuki na vita hiyo. Mshindwe.

Mjue kuwa sisi tumekatazwa kulipa kisasi na kuwa na chuki. 1 Yn 3:15. Ni kweli Wayahudi tunatofauti nao kwenye thelojia kuhusu masihi na tumekuwa maadui kwasababu hiyo. Na ni kweli walimkataa Yesu na kutesa Wakristo, ila Yesu aliwasamehe kwa kutojua walitendalo na akatuusia kuwahubiri wa kwanza na kuwapenda ili nao waokolewe. Na upo unabii wa kuokolewa kwao siku za mwisho. Na zaidi Wayahudi ndio Wakristo wa mwanzo kabisa. Maana Yesu na mitume wake walikuwa Wayahudi na zaidi 99% ya manabii ni Waisraeli. Na Waisraeli hawajaanza ukorofi leo, ni toka Yakobo baba yao.

Mungu hajawatupa Wayahudi wala hawachukii wala hajawaacha. Mtume Paulo anasema:


Rum 11:1-5 SUV
[1] Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu wake? Hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya Benyamini. [2] Mungu hakuwasukumia mbali watu wake aliowajua tokea awali. Au hamjui yale yaliyonenwa na maandiko juu ya Eliya? Jinsi anavyowashitaki Waisraeli mbele za Mungu, [3] Bwana, wamewaua manabii wako, wamezibomoa madhabahu zako, nami nimesalia peke yangu, nao wananitafuta roho yangu. [4] Lakini ile jawabu ya Mungu yamwambiaje? Nimejisazia watu elfu saba wasiopiga goti mbele ya Baali. [5] Basi ni vivi hivi wakati huu wa sasa, yako mabaki waliochaguliwa kwa neema.

Kuhusu kuwaombea alisema:

Rum 9:1-5 SUV
[1] Nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo, dhamiri yangu ikinishuhudia katika Roho Mtakatifu, [2] ya kwamba nina huzuni nyingi na maumivu yasiyokoma moyoni mwangu. [3] Kwa maana ningeweza kuomba mimi mwenyewe niharimishwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, jamaa zangu kwa jinsi ya mwili; [4] ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake; [5] ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili.

Na tena,

Rum 10:1 SUV
[1] Ndugu zangu, nitakayo sana moyoni mwangu, na dua yangu nimwombayo Mungu, ni kwa ajili yao, ili waokolewe.

Hivyo mkristo wa kweli akiwachukia Wayahudi kwasababu ya maovu yao na akiungana na mataifa kuwaua au kuwaangamiza basi huyo sio mkristo. Na sio kwamba Wakristo wanapenda madhulumu kwa Wapalestina bali wanaona Wapalestina ndio walioanza madhulumu toka 1948. UN iligawanyisha nchi hiyo na wao walipokea eneo kubwa lakini wakalikataa na wakata nchi yote. Hivyo wakaungana na Waarabu wenzao kutaka kuwafuta Wayahudi. Wakashindwa mara kwa mara na kujikuta wamepoteza badala ya kupata. Sasa wanaangaika kurejesha walichokipoteza bila mafanikio. Na Wayahudi hawawaamini tena maana walishaonesha hila dhidi yao.

Hoja nyingine za Waislamu

1) Hao sio Wayahudi ni wazungu
2) Wauaji
3) Mashoga
4) Wamepora ardhi

1) Wamesahau Umar ibn Kattab alikuta Wayahudi Yerusalem akaweka mkataba wa amani kati ya Wayahudi, Wakristo na Waislamu. Wamesahau kuwa Suleman Magnificient Sultan wa Othoman mnamo karne ya 16 aliweka kanuni ya kuishi kwa Wakristo, Wayahudi na Waislamu katika mji wa Yerusalemu na miji mingine. Na mnamo 1917 wakati Greater Britain imeitwaa Yerusalem na levant kwa ujumla nao waliweka kanuni hiyo hiyo ya Wakristo, na Wayahudi na Waislamu kuishi kwa uhuru. Kama Wayahudi ni wazungu wa Ulaya hao ambao Umar, Suleman na Britain waliwakuta walikuwa ni wazungu wa wapi?

Ni kweli wapo Wayahudi walitoka Ulaya kuja hapo hasa baada ya vita vya kwanza na vya pili. Pia watu wasisahu kuwa wapo Wayahudi ambao walitokea Afrika kaskazini, Iraq, Ethiopia, Sudan, Yemen, Oman, Iran, Syria baada ya kufukuzwa na Waarabu. Je tuseme nao ni wazungu?

Watambue tu Wayahudi walitawanyika duniani hata kabla ya kuzaliwa kwa Yesu. Waliishi Ulaya (Rumi, Spain na Ugiriki) zama hizo. Hata Muhamad anazaliwa anawakuta Wayahudi Hejaz wakiwa wanamiliki uchumi na baadae akapigana nao na kuwafukuza huko. Je nao walikuwa ni wazungu?

2. Hoja ya pili, Wayahudi kuua hawajaanza leo, hata Canaan waliipata kwa kuua wenyeji. Kina Musa, Yoshua, Daudi waliua sana tu. Ingawa Ukristo umekataza yote hayo lakini wao hawafuati ukristo bali agano la kale ambalo linatoa kibali kuua adui yako. Sasa hapo utawahukumuje?. Na ninyi Waislamu mbona nanyi mnaua maadui zenu kwa kuwaita makafiri? tena mnafurahia sana vifo vya Wayahudi. Hivyo ninyi ni walewale tu tena wabaya zaidi ya Wayahudi katika eneo hilo.

3. Dhambi ya ulawiti na ufiraji haijaanza leo, Wayahudi walishaifanya kitambo sana kabla ya Kristo. Na sisi hatuungani na hayo ila yapo duniani ikiwemo hapa Tanzania. Hata hapa Dar tuna kina anti Abuu, Abdalah, Umar nk. Mbona hamuwaui?. Na ufiraji ulitamalaki katika bara Arabu toka kitambo. Na zipo riwaya kibao za mashia na masuni zikiruhusu ufiraji na ulawiti. Maandiko ya Kiyahudi hayaruhusu ushoga ila wapo Wayahudi waasi wanaoruhusu hayo na wapo wanaopinga kama Orthodox Jews.

4. Hawajapora bali ni eneo waliloishi toka kitambo na hawajawahi kuondoka wote hapo katika historia. Waarabu ndio waporaji na wezi wa maeneo ya wengine. Na tunawaona leo Ulaya huko wakilazimisha sharia law. Waarabu/Waislamu walipora Misri, North Afrika, Syria, Iraq, Yerusalemu/Israeli, Anatolia nk na kuweka utawala wao. Wayahudi hawajawahi pora ardhi daima wanang'ang'ania eneo la historia yao basi.

Mwisho: Chuki iwe juu yenu ninyi, sisi sio kazi yetu ama wito wetu. Wito wetu ni kuwaombea waokoke na sio kuwafisha. Imeandikwa:

Rum 11:11-12 SUV
[11] Basi nasema, Je! Wamejikwaa hata waanguke kabisa? Hasha! Lakini kwa kosa lao wokovu umewafikilia Mataifa, ili wao wenyewe watiwe wivu. [12] Basi, ikiwa kosa lao limekuwa utajiri wa ulimwengu, na upungufu wao umekuwa utajiri wa Mataifa, je! Si zaidi sana utimilifu wao?

Na tena:

Rum 11:28 SUV
[28] Basi kwa habari ya Injili wamekuwa adui kwa ajili yenu; bali kwa habari ya kule kuchaguliwa wamekuwa wapenzi kwa ajili ya baba zetu.

Hivyo ni maadui kwa injili ila ni wapenzi (marafiki) kwajili ya mababa. Hata Quran yenu inashuhudia kuwa Wayahudi na Wakristo ni marafiki wao kwa wao. Ikiwataka msifanye urafiki nasi. Quran 5:51

Maswali kwenu

1) Quran inasemaje kuhusu makazi ya Wayahudi?

2) Nani mmiliki halali wa Yerusalemu, Bethlehemu, na nchi hiyo kwa ujumla kati ya Wayahudi na Waarabu?

3) Utawala wa Daudi na Suleman ulikuwa wapi kihistoria?

4) Daudi na Suleman walikuwa ni Waarabu au Wayahudi?
 
Wenye chuki ni waislam na wapagani wengine kama kina Hitler. Wakristo wanafahamu vema kuwalaani Mungu ameonya. Hukuti wakristo wakiwalaani watu wale. America wanajua kuwabariki na ndio maana America nayo inabarikiwa. Hukuti Amerika iko kinyume na watu wale inajta siri ya kuwabariki
 
Haya mapenda ubwabwa manafiki makubwa yan hata hayasomi daftari lao kuran kwmb wameambiwa wayahudi na wakristo ni marafiki na wakaambiwa wasiwe na urafiki nao sa nashangaa wanataka tuwachukie wayahudi ksha tuungane nao wkt wameambiwa wasiwe na urafiki na sisi ni vituko, hata mi huwa ninayauliza kwan hao wayahudi walikuwaga wanaish wp kama hawana makaz huko middle east walikuwa wanaish wp sasa jbu lao kwmb eti siyo hao eti hao ni wazungu wahamiaji sa je wayahudi wenyewe wako wp au mudi aliwaua wote eeeh..
 
Na sio kwamba Wakristo wanapenda madhulumu kwa Wapalestina bali wanaona Wapalestina ndio walioanza madhulumu toka 1948.
Unapotosha, yaani Tanzania uambiwe inagawanywa pasu kwa pasu ungekubali? Ukikataa ndio unakua mgomvi? Pia wapalestina walishatambua mipaka ya Israel tokea 1967 vipi sasa mkaendelea kujitanua kila mwaka?

Kuna watu wanaitwa walowezi hawa wanavuka mipaka na kupora ardhi ya wapalestina, Syria, na Lebanon hivi sasa hao wakipigwa risasi nako mtasema hao wanaovamiwa ni wagomvi?

Acheni justification za kijinga. Mna support Israel sababu ya kutafsiri vibaya biblia ila msianze kuokoteza visababu kuhalalisha huu upuuzi.
 
Tukianza na makobazi ya hapa nyumbani badala yawacgukie ccm unamchukia myahudi aliyepo mashariki ya mbali,hivi wewe kobazi una akili kweli
 
hata mi huwa ninayauliza kwan hao wayahudi walikuwaga wanaish wp kama hawana makaz huko middle east
Wayahudi Walitokea huko Ur yaani Iraq ya sasa. Biblia ndio inasema hivyo. Mind you hata yakobo alizaa watoto wake (waisrael) kwa kuzaa na wanawake kutokea Syria huko. So wakitaka kurudi kwao stahiki yao ni huko Iraq.

Na wengi hawajui hata Iraq ni nchi ya ahadi ya wayahudi. Ila wanalazimisha Gaza tu ila kurudi kwao hawataki
 
Wakristo wanafahamu vema kuwalaani Mungu ameonya. Hukuti wakristo wakiwalaani watu wale.
Imeandikwa wapi hii? Nachojua ukimbariki Abraham ambaye ni baba hata wa hao palestinians sio wayahudi pekee. Acheni kupotosha maandiko.

Hukuti wakristo wakiwalaani watu wale
*Nyerere kapewa hadhi ya utakatifu ila aliwachukia wayahudi.
*Muasisi wa Lutheran Church aliwaita ni panya wanaostahili kufutwa kwenye uso wa dunia. Sasa wewe ni mkristo kuliko luther au Nyerere?
America wanajua kuwabariki na ndio maana America nayo inabarikiwa. Hukuti Amerika iko kinyume na watu wale inajta siri ya kuwabariki
Vipi Saudi Arabia, UAE, Iran na Qatar n.k mbona wana utajiri wa kutisha wa mafuta na gesi ilihali wanailaani Israel? Maana nilitegemea waarabu ndio wangekua maskini sana.

Mind you nchi kama China hata dini haina ila imeendelea vipi hizo baraka za Israel zimewapunguzia nini?

Empty brains kabisa
 
4. Hawajapora bali ni eneo waliloishi toka kitambo na hawajawahi kuondoka wote hapo katika historia.
Acha uongo walitokea Iraqi mbona hausemi ukweli. Biblia hujui kabisa, walivamia eneo na kuchinja makabila yote 13 ya wacanaan. What is so hard kukiri hili
 
Wenye chuki ni waislam na wapagani wengine kama kina Hitler. Wakristo wanafahamu vema kuwalaani Mungu ameonya. Hukuti wakristo wakiwalaani watu wale. America wanajua kuwabariki na ndio maana America nayo inabarikiwa. Hukuti Amerika iko kinyume na watu wale inajta siri ya kuwabariki
Wapumbavu nyie hivi huwa hamsomi hata history zaidi ya huo ujinga wa makanisani?.

Hivi kuuchukia uovu wa mtu kunahitaji dini au mtu fulani akwambie fanya hivi?.

Ukishakuwa mtu timamu na mwenye akili ya UTU huwezi kuunga mkono ushetani unaofanywa na hilo taifa la uongo la israel, aihitaji kuwa muislamu au Mtu wa aina gani kuuchukia uovu wa mzayuni, huyo Mungu wenu ni Mungu wa aina gani anayehalalisha mauwaji kwa watu wasio na hatia?, kama yeye ni Mungu wa upendo na kila kiumbe ni chake kwanini auwe mpaka watoto wasio na hatia?.

Huu ugomvi waafrika hauwahusu mliingizwa kwa propaganda za kidini ili wao wapate sapoti ya kuendeleza ushetani wao wa kuhujumu ardhi ya watu.

Ukiisoma historia utagundua kuwa hakukuwai kuwepo Israel wala palestina bali ardhi/eneo la jamii mchanganyiko wa waarabu na sio wazayuni, pili ukirudi miaka 2000 iliyopita kwa mujibu wa historia na sayansi hakukuwai kuwepo na hiyo historia ya yesu kuishi eneo hilo wala hao akina ibrahimu, isaka na yakobo hawahusiani na huo uzao wa wazayuni mnaowaabudu hivi leo.

Waafrika amkeni mnapotezwa, muda wakuwalilia na kuwashobokea waarabu na wazungu mngeutumia kuwalilia ndugu zenu wa Congo, Sudani, Central afrika na kila mahala walipo weusi wenzenu na huo ndio UTU na upendo wa kweli.

Mijitu ipo tayari kumdharau/kumbagua mweusi mwenzao kisa hao wazayuni na waarabu wa mchongo hapo Middle East.

Amkeni Dini zote ni TAKATAKA hazina maana Kwa muafrika.
 
Maandiko ya Kiyahudi hayaruhusu ushoga ila wapo Wayahudi waasi wanaoruhusu hayo na wapo wanaopinga kama Orthodox Jews
Acha uongo sheria za Israel zinalinda haki za mapenzi ya jinsia moja na Tel Aviv inatambulika kama gay capital of the world. Kwahiyo sio watu wachache ni majority ya wayahudi wanaunga mkono ushoga. Taifa teule alafu linakubali ushoga?
 
Wayahudi Walitokea huko Ur yaani Iraq ya sasa. Biblia ndio inasema hivyo. Mind you hata yakobo alizaa watoto wake (waisrael) kwa kuzaa na wanawake kutokea Syria huko. So wakitaka kurudi kwao stahiki yao ni huko Iraq.

Na wengi hawajui hata Iraq ni nchi ya ahadi ya wayahudi. Ila wanalazimisha Gaza tu ila kurudi kwao hawataki
naona umekmbilia biblia leo wkt mnasemaga yaliyomo ni uwongo tupu kwmb leo kaanani ni iraq au siyo kwa mujbu wa biblia wayahudi au waisrael wana wa yakobo walikuwepo kwny miji ya bethlehemu, yerusalem, jordan nk sa huko iraq sjui umetoa wp sasa kwa mujbu wa biblia hata yesu alikuwa myahudi na alizaliwa hapo walipo kabla hata ya mudi kuanzsha takataka uislam maana haukuwepo kbs akshrikiana na shetan allah..ndo shda ikaanza sasa waislam hamuwez ishi kwa amani na wayahudi, wala wakristo, wala wapagan, wala wabudha, hata wnyw kwa wnyw hamuwezan kbs takataka kbs.
 
Ni kweli wapo Wayahudi walitoka Ulaya kuja hapo hasa baada ya vita vya kwanza na vya pili. Pia watu wasisahu kuwa wapo Wayahudi ambao walitokea Afrika kaskazini, Iraq, Ethiopia, Sudan, Yemen, Oman, Iran, Syria baada ya kufukuzwa na Waarabu. Je tuseme nao ni wazungu?
Kajifunze historia, kasome the 13th tribe. Hao wayahudi hawakutoka ulaya karne ya 20 ni tokea karne ya 12 na 13 huko hao wayahudi feki ndio walianza kujipa status ya "jews" na hawa ndio wanaitwa Ashkenazi Jews na ndio majority ya wayahudi waliopo duniani kwa sasa.
 
Tuwaue Mayahudi ili kiyama kifike 🤣🤣🤣

People still believe that shit?
 
Haya mapenda ubwabwa manafiki makubwa yan hata hayasomi daftari lao kuran kwmb wameambiwa wayahudi na wakristo ni marafiki na wakaambiwa wasiwe na urafiki nao sa nashangaa wanataka tuwachukie wayahudi ksha tuungane nao wkt wameambiwa wasiwe na urafiki na sisi ni vituko, hata mi huwa ninayauliza kwan hao wayahudi walikuwaga wanaish wp kama hawana makaz huko middle east walikuwa wanaish wp sasa jbu lao kwmb eti siyo hao eti hao ni wazungu wahamiaji sa je wayahudi wenyewe wako wp au mudi aliwaua wote eeeh..
Ungezaliwa ktk familia ya waabudu uislamu ungeamini kama wanavyoamini wao, na jinsi unavyoamini huo Ukristo wako ndivyo ambavyo wengine wangeamini ambao wangezaliwa ktk familia za Ukristo,

pili uyahudi na ukristo hawana undugu wala urafiki jamani fuatilieni mambo ya siasa za kimataifa zinavyokwenda huu sio ule wakati ambao mababu zetu walisimuliwa taarifa za uongo na kuzisambaza makanisani kuaminishana uongo.

Hivi kwanini mkishakuwa wafia dini hata akili za kuhoji na kutafakari mambo zinapotea?.

Siku hizi taarifa ziko kila mahali, ingia hata hapo YouTube uone hilo taifa lenu takatifu linavyouchukulia huo Ukristo wenu mnaodhani ni sawa na uyahudi,

Tambueni kuwa uyahudi haufungamani na dini ya aina yoyote ile wala jamii ya aina yoyote tofauti na uzungu, tena ninyi miafrika mnaonekana ndio MBWA TAKATAKA MNAOJISHOBOKESHA KWAO, lkn hamchoki kudanganyana makanisani kuhusu iyo israeli.

Biblia na Quran ni project za hao hao wazayuni kuubomoa umoja wa jamii za watu duniani ili kuwatawala na kuileta FALME MPYA CHINI YA KIUMBE MUOVU, hakuna aliye-safe ktk dini isipokuwa wanaoutambua ukweli tu.

Acheni Utoto
 
Back
Top Bottom