ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,553
- 44,721
Hata maneno na michoro ni biashara na fahari kubwa me nadhani imefika muda kama taifa kuanza kusoma elimu zote kwa kiswahili na inawezekana msikariri kwamba lugha yetu haiwezi kutuletea mapinduzi kwenye maeneo yetu. Tunachelewa bure tunaua vipaji vingi kwa utumwa wa kijinga.
Naombeni CHADEMA kama kweli tuna nia nzuri tumkomalie mheshimiwa Rais kubadilisha mitaala na mifumo ya elimu Kisha baadae Katiba mpya itajidai.
Naombeni CHADEMA kama kweli tuna nia nzuri tumkomalie mheshimiwa Rais kubadilisha mitaala na mifumo ya elimu Kisha baadae Katiba mpya itajidai.