Kwanini tusiandamane?

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,403
2,545
Ubaguzi dhidi ya weusi nchini Marekani ni suala ambalo limekuweko karne na karne tangu kuanzishwa biashara mbaya ya utumwa.

Najua sio weusi tu hubaguliwa nchini Marekani bali hata watu wa asili ya Asia na Uhispania. Ila kwa watu weusi imekuwa too much.

Napendekeza tufanyeni maandamano ya Amani mpaka ofsi za Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania. Na hii ifanyike ikiwa na lengo moja la kusisitiza waliohusika na mauaji ya George wachukuliwe hatua.

Nawakilisha.
 
Chadema watatuzia kuandamana, wanawapenda sana Mabeberu hao jamaa

Ukitaka ugombane na mwana Chadema mseme vibaya muzungu
 
Ubaguzi dhidi ya weusi nchini Marekani ni suala ambalo limekuweko karne na karne tangu kuanzishwa biashara mbaya ya utumwa.

Najua sio weusi tu hubaguliwa nchini Marekani bali hata watu wa asili ya Asia na Uispania. Ila kwa watu weusi imekuwa too much.

Napendekeza tufanyeni maandamano ya Amani mpaka ofsi zaUbalozi wa Marekani nchini Tanzania. Na hii ifanyike ikiwa na lengo moja la kusisitiza waliohusika na mauaji ya George wachukuliwe hatua.

Nawakilisha.
ni jambo jema kufanya maandamano ya amani , kuonyesha kuguswa na tukio la kuuliwa mweusi mwenzetu huko USA.




tatizo serikal yetu haiwez kukubar , ikiamn maandamano ni UPINZANI...
 
George Floyd kauwawa kikatili sana wale askari hata sielewi mioyo yao inachuki kiasi gani na kwanini, na wale walichukua video sijui kwanini hawakurusha hata mawe yaani.
 
Video ilichukuliwa na binti mdogo wa miaka 17 alikuwa besides road maaskari walikuwa wanne
George Floyd kauwawa kikatili sana wale askari hata sielewi mioyo yao inachuki kiasi gani na kwanini, na wale walichukua video sijui kwanini hawakurusha hata mawe yaani.
 
Ubaguzi dhidi ya weusi nchini Marekani ni suala ambalo limekuweko karne na karne tangu kuanzishwa biashara mbaya ya utumwa.

Najua sio weusi tu hubaguliwa nchini Marekani bali hata watu wa asili ya Asia na Uispania. Ila kwa watu weusi imekuwa too much.

Napendekeza tufanyeni maandamano ya Amani mpaka ofsi zaUbalozi wa Marekani nchini Tanzania. Na hii ifanyike ikiwa na lengo moja la kusisitiza waliohusika na mauaji ya George wachukuliwe hatua.

Nawakilisha.
Maandamano hayaruhusiwi
Mikusanyiko marufuku
Ni wakati wa kuchapa kazi.

Luckman1
 
Ubaguzi dhidi ya weusi nchini Marekani ni suala ambalo limekuweko karne na karne tangu kuanzishwa biashara mbaya ya utumwa.

Najua sio weusi tu hubaguliwa nchini Marekani bali hata watu wa asili ya Asia na Uispania. Ila kwa watu weusi imekuwa too much.

Napendekeza tufanyeni maandamano ya Amani mpaka ofsi zaUbalozi wa Marekani nchini Tanzania. Na hii ifanyike ikiwa na lengo moja la kusisitiza waliohusika na mauaji ya George wachukuliwe hatua.

Nawakilisha.
Yaani tuandamane kwa ajili ya wamarekani wakati hapa ccm wanawabagua wapinzani mpaka wakafananishwa na Corona tumeshindwa kuandamana? mkuu tutoe boriti kwenye jicho letu ndipo tutoe kibanzi kwenye jicho la mwenzetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
George Floyd kauwawa kikatili sana wale askari hata sielewi mioyo yao inachuki kiasi gani na kwanini, na wale walichukua video sijui kwanini hawakurusha hata mawe yaani.
Video ilichukuliwa na binti mdogo wa miaka 17 alikuwa besides road maaskari walikuwa wanne
Kuchukua video pia ni ushujaa, katuonyesha zahiri kilichotokea.....la angepigwa pia tukakosa kujua nini kilitokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubaguzi dhidi ya weusi nchini Marekani ni suala ambalo limekuweko karne na karne tangu kuanzishwa biashara mbaya ya utumwa.

Najua sio weusi tu hubaguliwa nchini Marekani bali hata watu wa asili ya Asia na Uispania. Ila kwa watu weusi imekuwa too much.

Napendekeza tufanyeni maandamano ya Amani mpaka ofsi zaUbalozi wa Marekani nchini Tanzania. Na hii ifanyike ikiwa na lengo moja la kusisitiza waliohusika na mauaji ya George wachukuliwe hatua.

Nawakilisha.
Tunaadamana nini wakati hapa Africa tuna baguwana sisi kwa sisi na tunauuwana sisi kwa tafauti tu za kikabira siasa kidini nk......bora wazungu mara 100 kuliko wa Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
George Floyd kauwawa kikatili sana wale askari hata sielewi mioyo yao inachuki kiasi gani na kwanini, na wale walichukua video sijui kwanini hawakurusha hata mawe yaani.
Mkuu lile tukio binafsi ni tukio lililoniumiza sana kiasi cha kunitesa kabisa kisaikolojia, ule si ukatili wa kawaida, ndio maana binadamu anafikia hatua ya kufanya revenge pale ambapo mamlaka zinachukua soft decisions kwa watesi wa aina ile...
 
Back
Top Bottom